Kuku wa kuoka pamoja na mboga mboga

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
*****Mahitaji*****

1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo

*****Namna ya kuandaa*****

1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.


Maasalam .
IMG_1956.JPG




IMG_1958.JPG
IMG_1959.JPG
 

Attachments

  • IMG_1959.JPG
    IMG_1959.JPG
    172.1 KB · Views: 53
Giligilani ndio bilinganya, umenitamanisha msosi huo wakati nipo hapa napiga chai na maandazi, ngoja kesho nijipange
 
*****Mahitaji*****

1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.

*****Namna ya kuandaa*****

1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.


Maasalam .View attachment 1160628



View attachment 1160632View attachment 1160634
Asante Madam,nitaleta mrejesho
 
Giligilani ndio bilinganya, umenitamanisha msosi huo wakati nipo hapa napiga chai na maandazi, ngoja kesho nijipange

Giligilani ni kotmir wengine tunaita ivo.au coriander.

Alafu bilinganya nimelisahau kuweka kwenye mahitaji apo ahsante kwa kunikumbusha.

Kila la kheir tunasubir kesho,chai na maandazi yummy yummy
 
Back
Top Bottom