*****Mahitaji*****
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam .
1)Kuku 1
2)kitunguu maji 1 kikubwa
3)Pilipili boga (hoho) 1
4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp
5)mbatata 5 (viazi) ndogo
6)Spices upendazo
7)nyanya zilosagwa 4-5
8)giligilani
9)chicken broth mix(sio lazima)
10)ndimu 1
11)chumvi.
12)bilinganya 3 ndogo
*****Namna ya kuandaa*****
1)katakata vegetable zote weka pembeni.
2)Weka kuku chumvi na spices unazopendelea.
3)weka kuku kwenye tray juu yake weka vegetables na katia giligilani kwa juu.
4)Mimina nyanya ulosaga
5)unaweza kuongezea chumvi kwa juu na pilipili manga (mtama).
6)Funika foil na bake kwa lisaa limoja au hadi iwe imewiva.
Maasalam .