jinola hamza
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 657
- 439
Unaanika nazi ikikauka unaitwanga afu unaipeleka mashine kusaga. Then unachemsha maji na kusonga kama unavyosonga ugali wa unga wa sembe au dona
Umri wako hauendani na unayo andika.Unaanika nazi ikikauka unaitwanga afu unaipeleka mashine kusaga. Then unachemsha maji na kusonga kama unavyosonga ugali wa unga wa sembe au dona
Sikuwahi kufahamu kwamba nazi na yenyewe inakula Ugali..ngoja nisubiri majibu kwa wataalamu wa mapishi na lishe
Tumia umri wako wewe kutueleza ugali wa nazi unapikwaje... au unataka kusema unazisonga nazi zikiwa nzimanzima?
Unafikiri umri wako unaendana na jibu ulilompa ndugu Asprin ? Kwanza relax maisha yenyewe yako wapi ya kuwa serious muda wote... utazeeka kabla hujaanza kuishi ohooo!
Kilichonishangaza zaidi anajifanya anaujua umri wangu wakati hata hajawahi kumfahamu baba yangu...Unafikiri umri wako unaendana na jibu ulilompa ndugu Asprin ? Kwanza relax maisha yenyewe yako wapi ya kuwa serious muda wote... utazeeka kabla hujaanza kuishi ohooo!
Kilichonishangaza zaidi anajifanya anaujua umri wangu wakati hata hajawahi kumfahamu baba yangu...
Asituhamishe kwenye maada ya msingi mkuu tusubiri tuone modification ya nazi kuwa ugali ama namna ugali unavyoweza kuwa chakula cha nazi, masuala ya umri wako mwambie awaachie RITA.Kilichonishangaza zaidi anajifanya anaujua umri wangu wakati hata hajawahi kumfahamu baba yangu...
Hahahah afu unaweza kukuta hajasajili line yake. Kwahiyo nazi inatengenezewa ugali? Nilikuwa sijaikamata hiyo.. nazi ina njaa sio hahahahAsituhamishe kwenye maada ya msingi mkuu tusubiri tuone modifikation ya nazi kuwa ugali ama namna ugali unavyoweza kuwa chakula cha nazi, masuala ya umri wako mwambie awaachie RITA.
Ewaaa... sasa aniambie babu ana miaka mingapi?Wewe si ni babu
Ni lazima tufikirie nje ya box, mfano ukisema wali wa kuku na wali kuku ni vitu viwili tofauti, kwa kuwa ndugu yetu maada aliyoleta mezani inahusu ugali wa nazi basi muktadha wetu usimame hapo!Hahahah afu unaweza kukuta hajasajili line yake. Kwahiyo nazi inatengenezewa ugali? Nilikuwa sijaikamata hiyo.. nazi ina njaa sio hahahah
Ushawahi pika hii kitu mkuu...nataka kujaribu nipe feedback yake ...Unakuna nazi kama kawaida unachuja tui kama kawaida unalichemcha na unatia unga wa sembe au dona kama kawa na unasonga mpaka uive.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanika nazi ikikauka unaitwanga afu unaipeleka mashine kusaga. Then unachemsha maji na kusonga kama unavyosonga ugali wa unga wa sembe au dona
😂😂😂😂😂😂😂Tumia umri wako wewe kutueleza ugali wa nazi unapikwaje... au unataka kusema unazisonga nazi zikiwa nzimanzima?