Jinsi nilivyokuwa napika kitimoto na ndizi. Kwanza mfahamu kuwa nilikuwa napika chakula kingi, siyo kama kile cha kwenye video.
Mahitaji.
Kitimoto kilo moja.
Ndizi mzuzu kumi, napendelea zile...
Wadau naomba kujua KITAALAMU na AFYA ni mchanganyiko upi ni SAIHI kwenye kuchanganya nafaka zetu na kipimo mfano mahindi, mtama, ulezi, muhogo.
Natumiaga hivyo vyote ila nakutana na shauri...
Mahitaji:-
Unga kilo 2
Mayai 2
Sukari 5½ Kijiko cha chakula
Blue Band 2½ Kijiko cha chakula
chumvi 1 kijiko cha chakula
Vanila 2 vifuniko
B/powder 2½ tspn
Amira 3½ Kijiko cha chakula
Naombeni...
Nimejaribu kutafuta tofauti ya Nyama ya Punda na Ng'ombe sijaweza kutofautisha.
Kilichofanya hadi nianze kutafuta tofauti ni namna ambavyo nimekuwa najisikia siku hizi baada ya kula hii nyama...
Zamani nilikuwa nakula kitimoto inanukia Sana enzo hizi tunadrop toka Minaki to Pugu kajiungeni vasco dagama kulikuwa na kitimoto swafi.
Sana now dayz nakula nabadilisha viwanja lakin sioni...
Mimi ni mpenzi wa ugali dona mix ya Mahindi, ngano, mtama/ulezi mweupe. Ningependa kujua namna bora ya kuupika ukakujulisha kuwa umeiva.
Hata kama kuna mix iliyo bora zaidi, nijulishwe.
Picha...
Siku hizi zile foleni za kungojea mafiga kwenye nyumba za kupanga zimepungua sana. Siku hizi wengi wana majiko ya gas chumbani. Kwa kweli yanasaidia sana kuokoa misitu, kurahisisha maisha. Hata...
Kwanza Kabisa Kabisa nitangulize Shukrani nzito kwenu Wakuu
Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya kupikia hivi sasa kutokana na Mafuta kuwa madogo kulingana na Uhitaji wa raia hali hii imezua...
Wakuu habarini za Mida,
Nahitaji msaada kwa wale wataalamu wa kuchoma nyama ya mbuzi huwa inakua lain na yenye ladha. Naombeni tupeane maujuzi jinsi ya kuchoma na aina ya viungo vya kutumia...
Mahitaji
1)nyama/kuku
2)mchele kg 1
3)vitunguu maji 3 vikubwa
4)vitunguu thomu 1 kidogo
5)pilipili manga kidogo
6)uzile 1(bizari ya pilau) tbsp
7)mdalasini kijiti 5 vikubwa au kama ni wa unga 1...
Habar zenu wapendwa...!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa namna ya kuandaa pamoja na kuchoma nyama ya ng'ombe, na wastan wa watu wanne.
Asante
1.Kuoka ni sayansi hivyo ni muhimu Sana kuzingatia vipimo,hakikisha unapima kwa usahihi kila hitaji lako usiongeze wala kupunguza hitaji muhimu hasa unapojaribu kwa Mara ya kwanza.
2.Hakikisha...
Kuanza kula mlo kamili ni bora na ni kazi sana, wengi wetu tunashindwa kutokana na miundo ya Familia zetu tumezoa tukiamka asubuhi ni viporo, vitumbua nk, mchana ugali na usiku wali. Hii...
Matembele ni mboga maarufu sana, pia ni mboga yenye virutubisho sana,
Lakini matembele yana faida nyingi katika miili yetu.
FAIDA ZA MBOGA YA MATEMBELE KWA UFUPI
1: Matembele yana madini ya...
Salaam,
Kiukweli tangu nianze kula ndizi zilizokaangwa sijawahi kuona ladha yake.
Je, huenda ninapokula ndo hawajui kuandaa ndizi za kukaanga au mdomo wangu na ulimu ndo umegoma kuhisi ladha ya...
Wataalamu, watumiaji na mafundi.
Nahitaji kuelewa kati ya jiko (oven/cooker) la GESI au UMEME lipi ni zuri kwa matumizi ya nyumbani?
Mfano wa cooker/oven
Liwe la gesi lote, yaani juu na ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.