Samahani mkuu sijakufahamu hapoHood kazi yake Nini?
Kuondosha mvuke wa mafuta na harufu na kuuelekeza nje (au ndani) kwa kupitia kichujio...Hood kazi yake Nini?
Kwa jina naitwa Bujibuji, naishi hapo nyumba ya tatu kuanzia hapa.Samahani mkuu sijakufahamu hapo
Sawa, vipi kuhusu ndani?Nafikiri zuri liwe na muuunganiko. Oven, plate mbili za umeme mbili za gas.
Well said mwamba wa ukweliKuondosha mvuke wa mafuta na harufu na kuuelekeza nje (au ndani) kwa kupitia kichujio.
Ndani umeme au ulimaanisha nini.Sawa, vipi kuhusu ndani?
Sawa mkuu,Ndani umeme au ulimaanisha nini.
Ahsante mkuuNafikiri oven ikiwa ya umeme ni salama zaidi. Plates zinaweza kua mchanganyiko umeme/gesi
Kwanini oven isiwe gasNaona nzuri ni plates 3 za gesi na ya umeme moja for backup ukiishiwa gesi ghafla
Oven iwe ya umeme zingatia
usinunue oven ya gesi
Binafsi tangu nakua tunatumia jiko la umeme hivyo sikuwaza muda nanunua jiko lingine nikaassume itakua tu na taa kwny oven
heee kimbembe wakati wa matumizi ndo nabaini na'bake na sina mwanga/taa ndani ya oven nilikasirika na kujilaumu sn
Nataka kuliuza tu ninunue oven ya umeme
yana complication kwenye matumizi yake yakipata mtu asie makini analipua nyumbaKwanini oven isiwe gas
Utakosa taa ndani ya ovenKwanini oven isiwe gas
Sio kweli. Zipo oven za gas na zina taa ndani. Labda umpe sababu nyingine.Utakosa taa ndani ya oven
Oh okayySio kweli. Zipo oven za gas na zina taa ndani. Labda umpe sababu nyingine.
Mfano kwangu mimi changamoto halina moto wa juu, juu inategemea moto uzunguke kutokea chini. Ni changamoto kulitumia kwenye swala la kujua moto kiasi gani, ila kadri unavyotumia umazoea kabisa. Mimi la kwangu nimeshalizoea na kulijulia, hivyo nachomea nyama na hata kupikia cake bila shida.