Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikijiaminisha kuwa napenda sana machungwa. Nimekuwa nikiwaambia watu napenda sana machungwa. Msimu wa machungwa ukifika huwa ni kawaida kwangu kununua machunga...
3 Reactions
4 Replies
829 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, kila mtu duniani muda mwingine hutamani kula kitu ambacho hajawahawi kula kutokana na mazingira yalivyo kwake. Mtu mwingine anatamani kula kitu...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hellow swahibaz! Mwenzenu nina tatizo la kukadiria chumvi na maji katika mapishi ya ubwabwa. Mi binafsi huwa sipendi chumvi nyingi, hali ambayo imefanya niwe mkini mno katika uwekaji kiasi ya...
1 Reactions
12 Replies
22K Views
Tukiacha parachichi na ndizi ambayo ni maarufu, je ni matunda gani mengine tunaweza kula sambamba na ubwabwa?
3 Reactions
71 Replies
14K Views
Habarini Leo nataka kupika ugali mlisema unatiwa blubend na Nini? Naomba mnikumbushe. Nawasilisha. ===== Picha ya ugali kutoka maktaba Soma maoni zaidi kuhusu kupika ugali: Jinsi ya kupika...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Nahitaj kupika pilau nyama ya kuku ya kukaanga na mchuzi, njegere, viazi Naweza changanya pilau njegere na kuku viazi kwa pamoja. Na mahitaj yake ni yapi
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari zenu. Kuna siku nilienda sokoni kununua bidhaa fulani nikakutana na ndugu yangu anauza viungo vya chakula. Kwakuwa tayari nilikuwa nimemaliza mahitaji niliamua kununua tu chochote kwakwe...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeikuta sehemu inauzwa shing 100 kwa kila mguu. Nimezoa ya 2000 nikapewa 2 nyongeza. Bado natafakari niipike vipi iwe mitamu na ya kuvutia. naombeni maelekezo tafadhali
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za muda huu! Samahani sana naomba kwa anaejua namna nzuri ya kuandaa siki ya mbilimbi iwe nzuri na tamu, kwa kutumia viungo mbalimbali kama vile nazi; pilipili; nyanya na kadharika. Maana...
2 Reactions
9 Replies
10K Views
Kwema Wakuu! Kuna watu watabisha Kwa ubishi wao tuu lakini kimsingi na kitaalumuna unapozungumzia mapishi Kwa nchi yetu basi hapo utakuwa unazungumzia ukanda wa Pwani. Kama unaishi maisha ya...
10 Reactions
35 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya chakula na salad safi kwenye, harusi kichen part, send off,mikutano, bathday pamoja na misiba
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Wakuu samahani, Naomba kuuliza namna Bora ya KUPIKA WALI MAHARAGE maana kila nikipika naona gesi inakuwa nyingi tumboni au nakosea wapi?
1 Reactions
11 Replies
3K Views
MAHITAJI Unga wa ngano nusu kilo Mayai 2 Sukari robo kikombe cha chai Chumvi kijiko kimoja cha chai Hiliki nusu kijiko cha chai Maji ya uvuguvugu kiasi Mafuta ya kupikia MATAYARISHO NA...
13 Reactions
21 Replies
20K Views
Habari wana jukwaa. Najitokeza kwenu kuomba mafunzo ya upishi wa kisamvu. Nimekula kisamvu kwenye sherehe kitamu sana Nifunzeni nipate kukipika mwenyewe nyumbani. Asanteni Recipe ya mama yangu...
2 Reactions
22 Replies
31K Views
Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika? Asanteni
10 Reactions
247 Replies
42K Views
Habari, leo nimewiwa kutaka kujua milo ya watu humu hasa mchana huu. Ni vizuri kwani tunashirikiana uzoefu na kujuzana habari mbali mbali kuhusu vyakula. Binafsi ndiyo nipo sokoni muda huu...
1 Reactions
2 Replies
817 Views
Gharama za maisha zimepanda sana, sasa hivi kumudu gharama za mkate asubuhi ili uwe kitafunwa cha kifungua kinywa ni wachache wanamudu. Hawa watoto wetu wengine hawajazoea kula mihogo ya...
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Utengenezaji wa jamu si mgumu sana kama ambavyo wengi hudhani. Unaweza kutengeneza jamu kwa kutumia vifaa ulivyonavyo jikoni kwako. Jamu ya machungwa ama ‘orange marmalade’ ni moja ya jamu zenye...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu Kama kichwa kinavyosema. Japo tunatofautiana lakini twende mbele turudi hivi pilipili ina raha gani? Kila nikijaribu ili niione kawaida kama wengine, asee naona hapana huku...
7 Reactions
77 Replies
7K Views
Habari wana jukwaa. Tueleze tumekula mlo gani siku ya leo? Kwa mimi leo nilikarabati mwili kama ifuatatavyo: Asubuhi
2 Reactions
6 Replies
797 Views
Back
Top Bottom