Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Mahitaji:-
Unga kilo 2
Mayai 2
Sukari 5½ Kijiko cha chakula
Blue Band 2½ Kijiko cha chakula
chumvi 1 kijiko cha chakula
Vanila 2 vifuniko
B/powder 2½ tspn
Amira 3½ Kijiko cha chakula
Naombeni msaada niongeze nini hapo au nipunguze nini. Kusudi niweze kupata andazi laini lililojaa ndani vizuri na liweze kudumu muda mrefu. Ni kwa ajili ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Unga kilo 2
Mayai 2
Sukari 5½ Kijiko cha chakula
Blue Band 2½ Kijiko cha chakula
chumvi 1 kijiko cha chakula
Vanila 2 vifuniko
B/powder 2½ tspn
Amira 3½ Kijiko cha chakula
Naombeni msaada niongeze nini hapo au nipunguze nini. Kusudi niweze kupata andazi laini lililojaa ndani vizuri na liweze kudumu muda mrefu. Ni kwa ajili ya biashara
Sent using Jamii Forums mobile app