Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu naomba kuelekezwa namna yakutengeneza sharubati ya mboga za majani bila kuweka maji na je kuna mashine maalum ya kukamua mboga mboga kuwa sharubati? Sent from my Infinix X656 using...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani naombeni msaada wa kuchanganya cocktail maana nilikunywa mahali aisee ilikuwa poa sana sasa natamani na mimi niweze kuiandaa ila sijui michanganuo nini na nini naombeni misaada kwa ninyi...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Pamoja na kuwa tunaandamwa sana na thread za kutishia afya zetu kisa kula nyama yetu pendwa, mimi kama mdau nashauri tuwapuuze tu na zaidi tufahamishane maeneo inapopatikana kirahisi popote...
2 Reactions
49 Replies
10K Views
Mahitaji: Maziwa fresh 1lt, limao na sukari kidogo tu. Anza kwa kuchemsha maziwa katika moto mdogo yapate moto ila yasichemke kabisa. Kisha chukua limao kamulia ndani ya maziwa hakikisha yamekua...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
JF ndio kisima cha maarifa. Katika kujiandalia lishe bora ya ugali nimechanganya kg 10 za mahindi na kg 3 za soya. Nilianza kwa kuchemsha soya na kuzianika siku 2. Tatizo unga umetoka na...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Namna ya kuandaa kitafunwa hiki aina ya kachori Mahitaji Viazi 10 Chumvi kiasi Masala Unga wa dengu 1 cup Ndimu 3[h=3]Mataarisho Namna ya kuandaa/ Kupika Chemsha viazi na maganda yake...
3 Reactions
157 Replies
87K Views
Wakuu naishi Dar nataka kununua gesi kwaajili ya matumizi ya nyumbani kwaajili ya kupikia. Je? Ni gesi aina gani ni nzuri hapa na maana ni kampuni gani hutoa Huduma ya uhakika. Kati ya ORXY lake...
0 Reactions
353 Replies
81K Views
Mahitaji 1) Nyama ya kusaga robo 2) Viazi mbatata kg 1 3) Karoti 1 kubwa 4) Pilipili hoho 1 5) Ndimu/limao 2 6) Pilipili manga ya unga 1 tea spoon. 7) Uzile wa unga 1 tea spoon 8) Kitunguu thomu...
6 Reactions
21 Replies
13K Views
Wakuu naombeni mnifundishe formula ya kupika ugali ,maana kila nikipika unakuwa mbichi vipimo vikoje ratio ya unga na maji mda wa kusubiri kwenye kila stage NITASHUKURU
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau Hamjamboni nyote? Nimeambatanisha kanuni husika. Karibuni tujadili KITCHEN TIPS From Africa 1. Never store Onions and Potatoes together because both produce a gas that causes either of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natumaini mko poa? Natamani kujua jinsi ya kutengeneza tomato paste mwenyew ambayo inaweza kukaa hata wiki bila kuharibika
1 Reactions
4 Replies
2K Views
1 Reactions
4 Replies
857 Views
Mahitaji -Mchele -Karoti -Hoho -Iliki -Njegere -Kitunguu saumu -Tangawizi -Nazi ya kukuna ni nzuri zaidi -Chumvi -Kuna nazi yako vizuri uikamue na uichuje kidog kidogo kiasi cha maji...
11 Reactions
90 Replies
46K Views
Za afya, binafsi napendelea kunywa uji wa ulezi na viazi vitamu. Siku zingine nakula majani chuku chuku ya maboga, matunda kidogo au maharagwe chuku chuku! Kwa leo nimekula majani chuku chuku ya...
0 Reactions
9 Replies
813 Views
Moja kwa moja kuokoa muda.. Mimi sio mpenzi wa kutumia majani ya chai ya dukani mara nyingi napenda kutumia chai ya mchaichai,baada ya kupitia nyuzi mbalimbali humu zinazohusu mti wa mlonge na...
6 Reactions
24 Replies
5K Views
Kuna huu unaitwa mlenda wa kienyeji. Watu wanatumia majani na wengine maua ya kukaushwa. Hivi hii mboga ina virutubisho vyovyote?
5 Reactions
87 Replies
14K Views
Upishi uko ukanda wa pwani na kidogo mikoa kadhaa kutoka pwani, baada ya hapo hakuna mapishi, nenda huko Kanda ya Ziwa nenda jiji kama Mwanza hakuna kitu pale, chakula wanajua kujaza nyanya...
13 Reactions
58 Replies
4K Views
Ni chakula kitam sana ..nataman kukipata. Nimehangaika kila pahala kuomba ..! Wajuzi naomben kufahamishwa wap naweza kupata Tako..kwa hapa tz
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Hamjambo wapenzi wenzangu wa misosi? Binafsi mimi ni mpenzi mno wa chakula yani napenda sana kula chakula kizuri, kisafi, kitamu, ambavyo vinajenga mwili na akili kama sote tujuavyo dhamira kuu...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Kusema kweli ndizi nazipenda zilizoiva tu nakula kama tunda ila sio ndizi za kupika. Ndizi za kupika nakula tu kuzuia kifo panapokua hakuna chakula kingine. Katika chakula nisichokipenda zaidi...
20 Reactions
256 Replies
29K Views
Back
Top Bottom