Mziwanda Mwafrika Chilas
Member
- Jul 7, 2013
- 12
- 15
Habari za muda huu!
Samahani sana naomba kwa anaejua namna nzuri ya kuandaa siki ya mbilimbi iwe nzuri na tamu, kwa kutumia viungo mbalimbali kama vile nazi; pilipili; nyanya na kadharika.
Maana nina mti wangu hapa nyumbani umezaa sana na sijui namna bora ya kuandaa siki hiyo.
Najua humu ndani kuna wajuzi na wataalam wazuri tunaweza kuelekezana hatua kwa hatua.
Asante. Naomba kuwasilisha
Samahani sana naomba kwa anaejua namna nzuri ya kuandaa siki ya mbilimbi iwe nzuri na tamu, kwa kutumia viungo mbalimbali kama vile nazi; pilipili; nyanya na kadharika.
Maana nina mti wangu hapa nyumbani umezaa sana na sijui namna bora ya kuandaa siki hiyo.
Najua humu ndani kuna wajuzi na wataalam wazuri tunaweza kuelekezana hatua kwa hatua.
Asante. Naomba kuwasilisha