Na enjoy sana hii kitu

Hardlife

JF-Expert Member
Apr 11, 2021
2,750
6,247
Habari zenu.

Kuna siku nilienda sokoni kununua bidhaa fulani nikakutana na ndugu yangu anauza viungo vya chakula. Kwakuwa tayari nilikuwa nimemaliza mahitaji niliamua kununua tu chochote kwakwe ili kumuunga mkono kazi yake.

Akaniambia chukua tangawizi na mdalasini vyote vya unga na uwe unakunywa tu kama chai jioni ukitoka kazini. Akaniambia uwe unachanganya mdalasini kijiko kimoja cha chakula na tangawizi nusu yake na iwe kama vikombe viwili tu na weka sukari kama una asali basi ni nzuri sana.

Niliamua kufanya hivyo ili tu hizo bidhaa zisipotee bure. Aisee.. kumbe hii kitu inaboresha sana mambo ya nguvu za kiume. Kiukweli sasa nimebadilika sana. Nguvu zimeongezeka mara 3 ya hali niliyokuwa nayo na haiumizi hata kidogo. Na hapo nimeona mabadiliko baada ya wiki 2. Sasa hapa shemeji yenu mpaka anauliza umefanyeje wakati yeye kila siku ndio anaandaa.

Jaribu uone.
 
Habari zenu.

Kuna siku nilienda sokoni kununua bidhaa fulani nikakutana na ndugu yangu anauza viungo vya chakula. Kwakuwa tayari nilikuwa nimemaliza mahitaji niliamua kununua tu chochote kwakwe ili kumuunga mkono kazi yake.

Akaniambia chukua tangawizi na mdalasini vyote vya unga na uwe unakunywa tu kama chai jioni ukitoka kazini. Akaniambia uwe unachanganya mdalasini kijiko kimoja cha chakula na tangawizi nusu yake na iwe kama vikombe viwili tu na weka sukari kama una asali basi ni nzuri sana.

Niliamua kufanya hivyo ili tu hizo bidhaa zisipotee bure. Aisee.. kumbe hii kitu inaboresha sana mambo ya nguvu za kiume. Kiukweli sasa nimebadilika sana. Nguvu zimeongezeka mara 3 ya hali niliyokuwa nayo na haiumizi hata kidogo. Na hapo nimeona mabadiliko baada ya wiki 2. Sasa hapa shemeji yenu mpaka anauliza umefanyeje wakati yeye kila siku ndio anaandaa.

Jaribu uone.
Ni kweli mkuu.. Huo mchanganyiko una nguvu sana kwenye jambo hilo. Shida wabongo tunaishi kizungu tukijifanya vitu vya asili kama hivyo ni ushamba.. mtu bila kuambiwa na daktari kitu basi hicho kitu ni upuuzi kwake.. wasijue sisi wengine hatujawahi kutumia kidonge pamoja na kuugua magonjwa ya kila aina na kupona!

Nb. Usitumie mchanganyiko huo kama una vidonda vya tumbo!
 
Ni kweli mkuu..
Huo mchanganyiko una nguvu sana kwenye jambo hilo. Shida wabongo tunaishi kizungu tukijifanya vitu vya asili kama hivyo ni ushamba.. mtu bila kuambiwa na daktari kitu basi hicho kitu ni upuuzi kwake.. wasijue sisi wengine hatujawahi kutumia kidonge pamoja na kuugua magonjwa ya kila aina na kupona!

Nb. Usitumie mchanganyiko huo kama una vidonda vya tumbo!
Madhara yake ni nini kama una vidonda vya tumbo?
 
Back
Top Bottom