kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,570
Habari, leo nimewiwa kutaka kujua milo ya watu humu hasa mchana huu. Ni vizuri kwani tunashirikiana uzoefu na kujuzana habari mbali mbali kuhusu vyakula.
Binafsi ndiyo nipo sokoni muda huu, nanunua kichwa cha samaki(perege=700) na bamia za 500(tupo wawili tu) so vinatutosha.
Mlo wetu leo utakuwa ni ugali kwa samaki na bamia.
Karibuni sana.
Binafsi ndiyo nipo sokoni muda huu, nanunua kichwa cha samaki(perege=700) na bamia za 500(tupo wawili tu) so vinatutosha.
Mlo wetu leo utakuwa ni ugali kwa samaki na bamia.
Karibuni sana.