Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari zenu wana bodi. Huwa najiuliza maswali lakini sipati majibu lakini leo naomba nanyi mnisaidie. Tanzania tuna makabila mengi na haya makabila yanaongea lugha tofauti. Lakini pia tunaongea...
3 Reactions
56 Replies
9K Views
Huyu mnyama adimu nimekuwa nikitafuta jina lake kwa kizungu au jina la kisayansi tafadhali mwenye kujua anijuze
0 Reactions
24 Replies
8K Views
pia ni nini asili ya neno Shenzi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mie toka nimeanza kumjua Yusuph Makamba sijawahi kumsikia akiongea hata neno moja la Kiingereza ila ni kwamba ni bingwa wa kukariri mistari ya biblia na ya kwenye misahafu.. sasa kuna mtu...
1 Reactions
71 Replies
14K Views
Salamu kwenu waungwana, tujikumbushe kidogo. Toa maana mbili ya maneno yafuatayo:- 1. Mbuzi 2.Tenga 3. Kaa 4. Taa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, mimi ni kijana (miaka 26) mkristo ambaye hivi karibuni nimefatilia kiundani sana dini ya uislamu na nimetokea kuikubali sana. Moja ya sababu zilizofanya niipende dini hii ni...
22 Reactions
106 Replies
16K Views
Nimefuatilia jamii nyingi duniani zina herufi na namba zao, mfano wachina, waarabu, wakorea, wazungu Je nini chimbuko la herufi na namba hizi? Walifanikiwa vipi walio na herufi zao? Msaada kwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana wa JF. Leo kupitia radio DW nilisikia neno " Mawaziri hao wawili walipigana PAMBAJA na kuwashangaza wengi ktk mkutano huo wa umoja wa Mataifa. Mawaziri waliozungumziwa ni wa nje wa...
1 Reactions
10 Replies
12K Views
Ni mbuzi dume ambaye tangu udogo wake huwa hatulii, anafujo, zizi zima hupenda kutawala yeye, kelele mwanzo mwisho, hana utulivu hata kwa mbuzi walo zaa wala watoto. *Wahenga waliona mbali sana...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Habari zenu wana JF. Nimeona watu wengi kwenye majukwaa mbalimbali wakitamani kujifunza lugha ya Kichina. Wenye nia hiyo wanakaribishwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Confucius Institute. Madarasa...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Kufanana na kutofautiana kati ya shamirisho na ujalizaji katika lugha ya kiswahili
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba watalaamu wa kiswahili wanisaidie kwanini tunaandika Mbwa badala ya Mmbwa,Mbu badala ya Mmbu na ikizingatiwa kimatamshi tunatamka Mmbwa na Mmbu badala ya Mbwa, Mbu? Maneno yapo mengi ila...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu Wanajukwaa? Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo. Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau naomba mnsaidie mwaka ambao lunga ya kiingezea ilisanifishwa na lahaja nyengine zilikuwepo huk uingereza.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu Wanajukwaa? Ninayofuraha kuandika katika jukwaa hili kwa siku ya leo. Mimi ni mdau wa lugha ya Kiswahili, hivyo ningependa kubadilishana maarifa na wadau wengine kuhusu lugha hii...
1 Reactions
1 Replies
731 Views
Ndugu zangu hii application ya simu, ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana, inafanya kazi katika simu za Android; Inapatikana hapa "Jifunze Kusoma Kiarabu" -...
4 Reactions
95 Replies
44K Views
samahani napenda kujua maana na kirefu cha MP kama inavotumiwa na jamii forums,"ID na blogs
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimekuwa nikipitia majukwaa mbalimbali mitandaoni, nimeona waafrika wengi wakivutiwa na Kiswahili, hasa wanaposikiliza nyimbo za wasanii kama Diamond Platnumz. Kiswahili kina viimbo vitamu...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
MAMA NA BABA MAMA: anakupenda mpaka ukimtazama machoni unauona upendo wake. BABA: anakupenda bila kuonesha dalili yoyote machoni. MAMA: amekutambulisha duniani. BABA: ameitambulisha dunia kwako...
1 Reactions
0 Replies
916 Views
Nawasalim nyote,tafadhali naomba mnielekeze jinsi ya kuunganisha TV ya Samsung inchi 32 flat na Sony home theatre,shida yangu nataka sauti ya TV itokee kwenye home theatre nimejaribu kunganisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom