Kwanini accent/lafudhi ya "Kichagga" inapotea mkiongea English?

Kingmairo

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
4,936
3,533
Heshima mbele wadau........Ni wazi hapa nyumbani ukanda fulani au makabila fulani yanatambuana na kutambulika kirahisi kwa lafudhi zao. Mifano ni mingi lakini akiongea Msukuma toka Shinyanga au kule Magu sio jambo gumu kumtambua. Akija "pure" likurya la pale sirari au mugumu pia ni jambo rahisi kulitambua kwa lafudhi pekee bila kuuliza. Vivyo hivyo kwa Ndugu zetu hapo mji kasoro bahari wapogoro " wazee wa kambale" na jamaa wa kule kaskazini-wachagga, maarufu kama "Mangi" au "meku". Nimefuatilia kwa baadhi ya haya makabila mathalani Wasukuma hata wakiongea kiingereza you can still note accent yao ipo pale lakini kwa kina mangi inapotea.....je mnabadilishaje? Is it something deliberate or natural? Kama wewe inakuhusu hebu tuambie!
 
Mimi inanihusu sana lakini sijaelewa unachotaka kusema ni nini labda............
 
Mimi inanihusu sana lakini sijaelewa unachotaka kusema ni nini labda............
Mchaga akiongea Kiswahili utamjua tu ni Mchaga,

But akiongea Kiengereza hutomjua kua ni Mchaga!
 
Mimi inanihusu sana lakini sijaelewa unachotaka kusema ni nini labda............
kweli inakuhusu,ukiongea english hamna mtu atajua we ni mchaga.
Preta21.jpg
 
Hukijui tu hicho 'kidhungu'' laitani ungekijua vilivyo basi ungeweza kubaini lafudhi ya "kimeku" katika lugha ya' kidhungu'
 
Heshima mbele wadau........Ni wazi hapa nyumbani ukanda fulani au makabila fulani yanatambuana na kutambulika kirahisi kwa lafudhi zao. Mifano ni mingi lakini akiongea Msukuma toka Shinyanga au kule Magu sio jambo gumu kumtambua. Akija "pure" likurya la pale sirari au mugumu pia ni jambo rahisi kulitambua kwa lafudhi pekee bila kuuliza. Vivyo hivyo kwa Ndugu zetu hapo mji kasoro bahari wapogoro " wazee wa kambale" na jamaa wa kule kaskazini-wachagga, maarufu kama "Mangi" au "meku". Nimefuatilia kwa baadhi ya haya makabila mathalani Wasukuma hata wakiongea kiingereza you can still note accent yao ipo pale lakini kwa kina mangi inapotea.....je mnabadilishaje? Is it something deliberate or natural? Kama wewe inakuhusu hebu tuambie!

Hata wapemba wakiongea kiingereza,hakifanani na lafudhi yao.
 
kwasababu maneno meng ya kichaga yanafanana na kiingereze kama here,kchaga hia kiswa,hapa na mengneyo
 
Heshima mbele wadau........Ni wazi hapa nyumbani ukanda fulani au makabila fulani yanatambuana na kutambulika kirahisi kwa lafudhi zao. Mifano ni mingi lakini akiongea Msukuma toka Shinyanga au kule Magu sio jambo gumu kumtambua. Akija "pure" likurya la pale sirari au mugumu pia ni jambo rahisi kulitambua kwa lafudhi pekee bila kuuliza. Vivyo hivyo kwa Ndugu zetu hapo mji kasoro bahari wapogoro " wazee wa kambale" na jamaa wa kule kaskazini-wachagga, maarufu kama "Mangi" au "meku". Nimefuatilia kwa baadhi ya haya makabila mathalani Wasukuma hata wakiongea kiingereza you can still note accent yao ipo pale lakini kwa kina mangi inapotea.....je mnabadilishaje? Is it something deliberate or natural? Kama wewe inakuhusu hebu tuambie!


Kwa kutaka jibu sahihi msikilize Mengi anapo ongea English. Wachagga waishio Dar wengi wao hawaongei na lafudhi ya kichagga na hata wakurya waliopo hapa hawaongei na ile lafudhi ya kikwao. Msikilize Lady Jay Dee utaona kuwa hana ile lafudhi ya kikatili ila akiongea na nduguze kwenye family get together huwezi kujuwa ndiyo yeye anavyokuwa na hasira kwani pia wanakuwa wanakula mirungi.
 
Kwa kutaka jibu sahihi msikilize Mengi anapo ongea English. Wachagga waishio Dar wengi wao hawaongei na lafudhi ya kichagga na hata wakurya waliopo hapa hawaongei na ile lafudhi ya kikwao. Msikilize Lady Jay Dee utaona kuwa hana ile lafudhi ya kikatili ila akiongea na nduguze kwenye family get together huwezi kujuwa ndiyo yeye anavyokuwa na hasira kwani pia wanakuwa wanakula mirungi.
Wataka' ntifua' nyongo 'mwari machozi' sasa eh!
 
Siku hizi watu wanadanganywa Mchana mchana tu kweupe.... toka lini mtu akaongea accent ya kiingereza then mtu asijue huyu anayeongea accent yake ni ya watu wa jamii fulani.... not in Tanzania.... Hata Mmarekani akiongea ni Tofauti na Mwingereza... sasa ndio ije kwa Mchanagaa? woyi.... Tirima Kidonko....

Mengi tu ni kituko tosha... akiwa anaongea unatamani amalize haraka maana anaboa balaa.... Kama wanaigeria
 
Back
Top Bottom