Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kuna tetesi kwamba asili ya jina la Manzese (Dar) ni Manchester (ya Uingereza). Wataalamu wa lugha mnasemaje kuhusu hili? Ni kweli?
1 Reactions
36 Replies
11K Views
1:Mzazi wa mke na mzazi wa mume wanaitanaje? 2:Mliyeoa naye familia moja utamwitaje?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Denise Coates hulipwa mshahara wa zaidi ya Pauni za Uingereza 265 milioni (zaidi ya Shilling 340 bilioni).mwanamama huyu Ni Afisa Mkuu Mtendaji wa kampuni ya kamari ya Bet 365 Aidha, Coates ni...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Hii ina maana gani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ULIYENIROGA AA! Mgunda naliandaa, mkulima najituma, Naw'usisha Ulamaa, nipe mbinu za kulima, Kisha nilipe jamaa, anipandie sukuma, Mwisho napigwa butwaa, mazao yanachutama. Mbegu toka manispaa...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Umewahi kuwa na ndoto ya kuzungumza Kifaransa kama lugha ya mama? Usikate tamaa, unaweza kuomba mwalimu kwa njia ya mtandao akakufundisha ukiwa nyumbani kwako maana KIFARANSA ukipata mwl mzuri...
9 Reactions
79 Replies
16K Views
Utamu wa embe dodo, nawaambia vijana, Ni embe lisilo nyodo, mfano wake hakuna, Hamuye ninayo bado, kwa mengine mimi sina, Nimekula embe dodo, bolibo sitaki tena! Nilipoona bolibo, nilidhani...
5 Reactions
25 Replies
21K Views
Kwa mfano unataka utunge sentensi kwa kingereza inayosema "Thomas amechomokea shati na kufanya aonekane nadhifu"
0 Reactions
6 Replies
9K Views
KHA-KISA GIZA. 1.Hakika kuna machungu,kushuhudia ajali Eti amepanga Mungu,basi sisi tusijali Si Leo ni zama tangu,watu wanatupwa mbali Kha eti kisa ni giza,twasitisha kuopoa !. 2.Giza lazuia...
2 Reactions
2 Replies
848 Views
mkoa wa arusha umekua chimbuko la lugha mbili maarufu moja ikiwa ni Arachuga, na nyingine ikiwa ni kisharua ambayo maneno ya kiswahili zanasomeka toka kulia kurudi kushoto mfano *jamiiforum...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
TUPEANE MIKONO. 1.Tukipeana mikono,ni ishara ya upendo Kuna ua migongano,mikono funzo la jando Waonao mgangano,hao wana mbovu nyendo Nakupenda wanipenda,tupeane na mikono. 2.Tukipeana...
0 Reactions
2 Replies
574 Views
1.Kweli ulitupa tabu,tena tabu kubwa sana Tabu zilo na sababu,hasa ulipo tuchana Uliwasema vibabu,wazee hata vijana Mapoti na mabawabu,uliwaponda mchana Dada kuacha siasa,wazee tutapumua...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau za saa hz? Mie naomba kuuliza tu, hivi hili neno haki lina maana gani hasa? Unakuta mwanasiasa mpinzani anasema yupo tayari kufa kwa ajili ya kutafuta haki. Mwenye madaraka nae anasema...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
1.Mwaka sita wa sabini,nyota ilianza waka Ulifika duniani,shujaa na wetu kaka Nuru yako maishani,ikaanza kumulika Twakukumbuka shujaa,mpambanaji Mawazo. 2.Ulofundisha Bondeni,vyema ukaelewa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nini maana yake ya -Mizimu... -Maraika... Na je, upi mwanzo wa -Maraika.... -Mizimu.. Nini tofauti ya -Mizimu.. -maraika Na je nini kazi ya -Mizimu -Maraika
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau! Ni watu wachache tu ndiyo wanaoelewa kwamba Wamisionari walichangia sana katika makuzi ya lugha ya Kiswahili has a Askofu Steer na John Krapf. Walipokuwa Mombasa mwaka 1844...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
TUKI wataalamu wa Kiswahili hii inawahusu. Hii misamiati inapaswa kubadilishwa ili kuendana na kasi ya mweshimiwa. 1. Mbunge....huyu awe ni mtu anayepaswa kuunga mkono serikali na ikulu kwa kila...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Kama ww mpenzi wa lugha ya kifaransa Ntakuletea jinsi ya kutumia kifaransa sanifu kwa kupitia Michezo nyepesi na Masuala mbalimbali. Leo nakuletea Verb "ETRE" Badilisha Makalima haya yawe...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Back
Top Bottom