Mwenzenu ninajongea, taratibu nawajia
Kwa haya yalotokea, ya kisima nawaambia
Hofu menisogelea, na nguvu zimeishia
kisima nimekiacha, maji hayanyweki tena
Kisima nilitumia, na mtu...
Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga.
SIFA:
1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI
2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita.
3. Umri kuanzia miaka...
Habari wadau, wapi ninaweza kupata vitabu alivyoandika mwandishi nguli wa hadithi Agoro Anduru.
Baadhi ya kazi zake nnazotafuta;
1. A Bed of Roses and Other Writings
2. Loyalty to My Friend
3...
Dear all
I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post.
Have a nice...
Chapa ya Mnyama
Mrefu tena mpole,rangiye ya kupendeza
Rangi kama ya vipele,manyoa ya kuteleza
Wale wazee wa kale,wao walipendekeza
Chapa ya huyo mnyama,yafaa wakilogewa.
Mwenye mwendo wa...
Habari ndugu wana JF,
Naomba kufahamu kichomi kwa kiingereza kinaitwaje?? Kuna mtu anajisikia kuumwa kichomi, maeneo ya chini ya kitovu..
Shukrani sana..
Pelekea na Sababisha
Pelekea ni mnyambuliko wa neno peleka ambalo maana yake ni kumchukua mtu au kitu na kukifikisha mahali panapotakiwa. Kwa kuzigatia maana ya peleka na...
Miaka ya zamani waandishi wa habari walikuwa wanatumia kiswahili kizuri sana,
Waandishi wa sasa inafika wakati anaandika neno " kusubutu" !! na mhariri anaipitisha!?
I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English.
Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua.
I'm the author of this course and I feel that it has...
Kuna makosa mengi yanajitokeza katika uandishi ambayo ni makosa ya kuunganisha maneno kana kwamba ni neno moja ilhali ni maneno mawili tofauti na yenye uamilifu tofauti.
Mfano wa maneno hayo ni...
METHALI NA MISEMO YA KIPARE.
(VISOMA VYA CHASU)
1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa.
2. Kitambi cha muimi ni kiumbi.
3. Ekwira ima si iti anakulie.
4. Ngoma mbiri nyika ni kintu na mlamue.
5...
Wanangu Wa faida mpo?
.
Kuna vitu vinafanya wakati Fulani mtu mzima utamani kurudi utotoni
Ingawa ni ngumu ki nadharia (mawazo) yanaweza kukurudisha na ukajikuta Una tabasamu peke yako njiani
...
Niliona BBC Swahili wameandika kichwa cha habari kwamba "kikosi cha Gambia kingefariki" walipokuwa wakieelekea Afcon, je hapa hili neno limetumika ipasavyo? Hapa wanamaanisha kikosi kina moyo?