Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Vitabu vingi vya sarufi vinadai kwamba badiliko hili ni sawa lakini siamini Wakuu wa lugha ya kiswahili, lahaja ipi inaruhusu "ninyi"?
0 Reactions
5 Replies
277 Views
Mwenzenu ninajongea, taratibu nawajia Kwa haya yalotokea, ya kisima nawaambia Hofu menisogelea, na nguvu zimeishia kisima nimekiacha, maji hayanyweki tena Kisima nilitumia, na mtu...
7 Reactions
46 Replies
10K Views
Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga. SIFA: 1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI 2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita. 3. Umri kuanzia miaka...
0 Reactions
0 Replies
216 Views
Habari wadau, wapi ninaweza kupata vitabu alivyoandika mwandishi nguli wa hadithi Agoro Anduru. Baadhi ya kazi zake nnazotafuta; 1. A Bed of Roses and Other Writings 2. Loyalty to My Friend 3...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Tupia ambacho google imeshindwa!! Mi naanza na hili neno[emoji3][emoji3][emoji3]
0 Reactions
10 Replies
763 Views
Dear all I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post. Have a nice...
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Chapa ya Mnyama Mrefu tena mpole,rangiye ya kupendeza Rangi kama ya vipele,manyoa ya kuteleza Wale wazee wa kale,wao walipendekeza Chapa ya huyo mnyama,yafaa wakilogewa. Mwenye mwendo wa...
0 Reactions
2 Replies
584 Views
Habari ndugu wana JF, Naomba kufahamu kichomi kwa kiingereza kinaitwaje?? Kuna mtu anajisikia kuumwa kichomi, maeneo ya chini ya kitovu.. Shukrani sana..
0 Reactions
47 Replies
43K Views
Pelekea na Sababisha Pelekea ni mnyambuliko wa neno peleka ambalo maana yake ni kumchukua mtu au kitu na kukifikisha mahali panapotakiwa. Kwa kuzigatia maana ya peleka na...
3 Reactions
5 Replies
846 Views
Miaka ya zamani waandishi wa habari walikuwa wanatumia kiswahili kizuri sana, Waandishi wa sasa inafika wakati anaandika neno " kusubutu" !! na mhariri anaipitisha!?
6 Reactions
56 Replies
2K Views
I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English. Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua. I'm the author of this course and I feel that it has...
0 Reactions
0 Replies
224 Views
Kuna makosa mengi yanajitokeza katika uandishi ambayo ni makosa ya kuunganisha maneno kana kwamba ni neno moja ilhali ni maneno mawili tofauti na yenye uamilifu tofauti. Mfano wa maneno hayo ni...
2 Reactions
1 Replies
634 Views
Naombeni matumizi sahihi ya iko na ipo au tuko na tupo. Ukitoa maelezo na mfano wa sentensi itakuwa vizuri zaidi
2 Reactions
19 Replies
1K Views
METHALI NA MISEMO YA KIPARE. (VISOMA VYA CHASU) 1. Kiruke cha ibwe kimanywa ni igondwa. 2. Kitambi cha muimi ni kiumbi. 3. Ekwira ima si iti anakulie. 4. Ngoma mbiri nyika ni kintu na mlamue. 5...
1 Reactions
23 Replies
12K Views
Rais akiwa mwanamke, mume wake Waingereza wanamwita " First Gentleman" Kwa lugha yetu ya Kiswahili anaitwaje?
0 Reactions
5 Replies
442 Views
Wanangu Wa faida mpo? . Kuna vitu vinafanya wakati Fulani mtu mzima utamani kurudi utotoni Ingawa ni ngumu ki nadharia (mawazo) yanaweza kukurudisha na ukajikuta Una tabasamu peke yako njiani ...
4 Reactions
44 Replies
25K Views
Alligator pepper na bay leaves kwa Kiswahili fasaha zinaitwaje? Thanks.
2 Reactions
20 Replies
6K Views
A thorough perusal of the Notice of Motion and the averments in the affidavit, two major grounds on which the application is based clearly comes out.
0 Reactions
20 Replies
919 Views
Niliona BBC Swahili wameandika kichwa cha habari kwamba "kikosi cha Gambia kingefariki" walipokuwa wakieelekea Afcon, je hapa hili neno limetumika ipasavyo? Hapa wanamaanisha kikosi kina moyo?
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…