Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
KAULI YA LEO Neno 'SWAHILI' kimatamshi linaweza kutokana na 'ZIWA HILI' au likatafsiriwa 'SAWAHILI' kutokana na neno la Kiarabu 'SAHIL' linalomaanisha 'PWANI' likirejelea 'lugha', 'tamaduni' na...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Katika lugha za kiafrika,kijaluo ni lugha moja nzuri sana na naipenda sana. Nilianza kuifahamu lugha hii nikiwa na miaka 20 na kwa kudra za Mungu,nilipata mtoto na dada mmoja anaitwa akinyi wa...
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Naomba kufaham maana ya neno "MWANASAGALI"
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Bila shaka wengi wetu tunalifahamu na kulitumia neno/jina hili.Tupo tunaoamini kuwa neno hili lilichomoza tu na kupokelewa na jamii, na halikuwa neno/jina rasmi kabla kama ilivyo kwa baadhi ya...
1 Reactions
9 Replies
683 Views
Baadhi ya habari zinazoandikwa humu zinashangaza Sana. Hivi siku hizi kiswahili hakifundishwi mashuleni? Fikili badala ya fikiri, safili badala ya safiri, Dora badala ya Dola, mahali badala ya...
2 Reactions
1 Replies
382 Views
Wasaalam wajuvi wa lugha anaejua Visawe vya maneno naomba kusaidiwa -Paka -Dawati Visawe ni maneno yenye maana sawa Neno=Kisawe 1. Ardhi=Dunia 2.Ari=Nia 3.Aibu=Soni
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Wandugu, Napenda kujua hili neno ambalo kwa Kinyakyusa maana yake ni mama liligeukaje kuwa tusi?
0 Reactions
31 Replies
27K Views
wakuu..nimesikia hili neno leo wakati nikiangalia taarifa ya habari ya TBC1...liliwekwa tangazo moja kutoka ofisi ya CAG likiwataka maafisa masuuli kuwasilisha financial statements za taasisi zao...
0 Reactions
11 Replies
23K Views
Listen up, vijana wa Bongo: Mna-labda kusoma sana vitabu, kusuiti, kujiita graduates, lakini mnaposikia mtu anadrop street lingo kama: "Yo, I been grindin’ since day uno, no cap." "I’m outchea...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
[Sw] Nilikuja, nikaona, nilikuja, nikaona Namsifu Bwana, halafu navunja sheria Nachukua changu, kisha nachukua zaidi Inanyesha, inamiminika, inanyesha, inamiminika. [En] I came, I saw, I came...
0 Reactions
2 Replies
657 Views
Habari zenu? Tafadhali nawaomba Ndugu zangu, kama uñajua lugha haipandi usilazimishe. Kiswahili ni lugha pia. Asanteni.
1 Reactions
14 Replies
945 Views
Wakuu wangu wa kazi, nahitaji kuwa konki kwenye kiswahili na hapa nimejipanga kwanza niweze kumiliki kamusi ili kila siku nipate maneno kadha wa kadha. Nahitaji pendekezo lenu kwa upande wa...
1 Reactions
1 Replies
509 Views
Kichwa cha uzi cha husika. Karibu Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Kwanini lugha ya kiingereza ni tatizo kwa Watanzania na wanafunzi wengi wa Tanzania hususan wa shule za kata
1 Reactions
10 Replies
842 Views
Mjapani Fumiyo Jin mwenye shauku ya kujifunza Kiswahili ili aweze kukalimani Kijapani-Kiswahili
3 Reactions
3 Replies
626 Views
Habari zenu wanajamii forums Leo naomba kuelekezwa maana ya neno NDWELE maana tunasema yaliyopita si NDWELE tugange yajayo sasa nini maana ya NDWELE maana ninalisikia kwenye huu msemo tu ila...
2 Reactions
11 Replies
19K Views
Wanajamvi manju ni nani,au ni nini?
1 Reactions
9 Replies
33K Views
Habari wanaJF, Natamani ningepata mtu wa kunitengenezea application au system ya watu kujifunza lugha mpya za kibantu na zile za zisizo za kibantu. Kwa yeyote anaeweza kuandaa mfumo kama huu...
2 Reactions
2 Replies
758 Views
Nilipokuwa form One baadhi ya maneno nilikuwa naya-assume (najitengenezea) maana zake katika fikra zangu kwa sababu kiingereza lilikuwa hakipandi. Yafuatayo ni baadhi ya maneno ya kiingereza na...
11 Reactions
131 Replies
4K Views
Back
Top Bottom