Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wana Sheria ni wataalamu wa lugha hasa Kiingereza Swali lipo kwenye heading Nimekaa pale 🐼
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Wahuni sio watuwazuri. Kitendo cha watu wa jinsi 2 tofauti kuungana kimwili ni kitendo chenyeraha isiyo kifani hasa ikichagizwa na miguno. Sasa sijui katokea mtu wapi huko eti anadai kitendo kile...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wana JF? nahitaji msaada wa majibu katika mtihani huu kwa kiswahili. kiukweli mimi umenishinda kabisa ni mtihani wa online 1. Ipi kati ya chaguo lifuatalo inawakilisha njia sahihi ya...
0 Reactions
4 Replies
867 Views
Unda neno la kiswahili lenye mchanganyiko huu wa herufi LOKEITAPA
0 Reactions
2 Replies
465 Views
Hili neno limeenea Kila mahali sijui Lina maana Gani?
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu hivi Popoma maana yake ni nini ? ni MTU wa aina gani .?
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Udelele ni mate mazito yanayomtoka mtu labda kama ni punguani au ana matatizo Dovuo ni mate mazito yanayomtoka mtu akiwa usingizini, huwa yana harufu kali Udenda ni mate yanayomtoka mtu kutokana...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Mwalimu na nguli wa lugha ya Kiswahili kutoka BAKITA Mzee Sigala anatuelezea maana halisi ya neno ngono Je na wewe pia ulikuwa una elewa hivyo ukisikia neno ngono? Soma pia: Ondoa Mikosi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi. 1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Kuna huyu bwana mdogo J. Nkumbi nimepata kumfuatilia siku 2 tatu hizi nimefurahishwa sana na maneno yake. Kwa kweli kiswahili ni lugha nguvu kuliko hata kimombo ila huyu bwana mdogo anakipiga...
4 Reactions
15 Replies
10K Views
Tangu waandishi wa habari na watangazaji kupotea "disappeared in the thin" na kutosikika neno Ithibati likachipuka ghafla hasa wiki hii. Licha ya utaalam wangu na uzoef Katika lugha hii kuntu...
1 Reactions
3 Replies
675 Views
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
11 Reactions
765 Replies
77K Views
Mh. Polepole amejiuzuru gafla shuguli za siasa - ❌ Mh. Polepole amejiuzulu ghafla shughuli za kisiasa - ✅ Maneno mengine ambayo nimesikia yanakosewa mara nyingi. azabu - adhabu ✅ tajili -...
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Swahili weekdays mostly follow a logical numeric pattern combined with the word ‘juma’ ( nadhani inamaana wiki au siku), Jumamosi = first day Jumapili = second day Jumatatu = third day Jumanne =...
2 Reactions
6 Replies
760 Views
Mmesikia huko....... eti lakuvunda halina ubani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mambo vp wadau Umekuwa ukitamani kujua/kujifunza lugha ya kifaransa? Karibu tuwe pamoja kwenye hii thread uweze kujifunza maneno mbalimbali ya lugha ya kifaransa. Uliza swali lolote au neno...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha...
21 Reactions
310 Replies
11K Views
Nisaidieni kutofautisha kati ya Uzinzi, Ufuska na Uasherati
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimepata jirani mkongo ameni inspire LINGALA. Ozali malamu- mambo vp? Nazali kobela- naumwa Kombo na yo- jina lako nani? Bolingo na ngai- mpenzi wangu Posa ya mayi- kiu ya maji Muzina di tata...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Leo Julai 7, 2025, dunia inaadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani kwa lengo la kutambua na kuenzi mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuimarisha mawasiliano, utamaduni na mshikamano wa kijamii...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom