hapo huna namna inabidi uende ufaransa 😅Napenda sana kujua kifaransa , lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
kuna site unaijua iko vizurijaribu kujifunzia online
kwely kabisahapo huna namna inabidi uende ufaransa 😅
Duh sio kwelihapo huna namna inabidi uende ufaransa 😅
Nenda ufaransa mkuuNapenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
taasisi kama ipi?Kuna taasisi kibao tu zinatoa short/long course ya lugha ya Kifaransa kama vile VETA n.k
Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
Kuna taasisi kibao tu zinatoa short/long course ya lugha ya Kifaransa kama vile VETA n.k
dar es salaamupo mkoa gani???
Dualingo ni app.Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
Uko mkoa gani mkuu? Arusha kuna walimu kibao wa kifaransa mi mwenyewe nina miezi miwili tokea nianzeNapenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
Miezi miwili na bado hujaelewa kitu, unaendelea kufundishwa tu hadi sasaUko mkoa gani mkuu? Arusha kuna walimu kibao wa kifaransa mi mwenyewe nina miezi miwili tokea nianze
Mwalimu wa kifaransa bongo tunaongopeana.Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
Napenda sana kujua kifaransa, lakini sijapata mwalimu mzuri , naweza kupata wapi msaada?
Walimu wa mchongo waleUko mkoa gani mkuu? Arusha kuna walimu kibao wa kifaransa mi mwenyewe nina miezi miwili tokea nianze
Mwalimu wa kifaransa bongo tunaongopeana.
Ni wabovu sana kwenye matamshi.
Utajifunza lkn huwezi kuongea na mfaransa kamwe