Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other...
8 Reactions
50 Replies
57K Views
Markhamia lutea
0 Reactions
2 Replies
382 Views
"Maana ya Jina la Kichaga 'Monoruwa' – Msaada Tafadhali!" "Habari zenu wana jamii! Nina swali kuhusu jina la Kichaga 'Monoruwa'. Naomba mwenye ujuzi wa lugha ya Kichaga au historia ya majina...
0 Reactions
2 Replies
736 Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye elimu
7 Reactions
65 Replies
3K Views
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka visivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadaye nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno...
4 Reactions
356 Replies
39K Views
Mfumo wa Serikali upo kwa Kingereza. Documents za Serikali zipo kwa lugha ya kingereza. mimi kwa mtazamo wangu ni Bora tutumie Lugha ya kingereza ndiyo iwe Lugha ya Taifa. Tuachane na...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
(1) Cherehan - Charan Singh. Inaarifiwa uyu ndo fundi nguo wa kwanza afrika mashariki na waswahili tukashindwa kutamka jina lake tukawa tuna litamka cherehani. (2) Kariakoo - Carrier Corps...
10 Reactions
52 Replies
3K Views
Azam TV inawatangazaji mahiri sana wa mpira ila kinachosikitisha ni namna wanavyoamua holela kubadili maneno au matumizi ya maneno bila kujua athari zake. Mfano walianza kuita mpira eti mali, na...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Zamani mimi nilikuwa najua neno tia linatumika bandarani tu(kutia nanga), baadaye nikaja kujua linatumika kama matusi pia, lakini kadri muda ulivyoenda nikaja kujua linatumika sana hasa na watu...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Wadau Repeat again sio sawa kabisa jihadhari na lugha za wakubwa duniani jifunze taratibu na usijaribu kutafsiri native language yako kwenda kimombo sio sawa kabisa
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Watanzania tutofautishe na matumizi ya maneno international na overseas au abroad. International ni baina ya mataifa yote duniani ikiwamo Tanzania, usitumie neno international kama unataka kusema...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Chino kidd ameandika kwenye IG story yake kuwa anaumwa sana anaomba kuombewa sana ila sentensi ameandika kwa kingereza sijui cha wapi yaani ni broken broken english inasikitisha msanii mkubwa...
3 Reactions
1 Replies
449 Views
Ninapowasikia watangazaji wa mpira mara kadhaa husema mpira umebabatiza. Maana yake hasa ni nini?
2 Reactions
4 Replies
662 Views
Nimekuwa nasikia na hata wakati mwingine kuyatumia maneno haya ila sasa napata shahuku ya kufahamu kama kuna uhusiano kwa maneno haya. Mtu atasema "umeniachia msala" akimaanisha umemuachia...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wadau wa jamvini, Hope mnaendelea vizuri na mapambano ya kitaifa na uchumi wa kati. Nilikuwa nataka kujua na kufahamu maana halisi juu ya huu msemo uliozuka wa kwa Mpalange. Juzi kati...
2 Reactions
61 Replies
58K Views
Wana Sheria ni wataalamu wa lugha hasa Kiingereza Swali lipo kwenye heading Nimekaa pale 🐼
2 Reactions
35 Replies
1K Views
Wahuni sio watuwazuri. Kitendo cha watu wa jinsi 2 tofauti kuungana kimwili ni kitendo chenyeraha isiyo kifani hasa ikichagizwa na miguno. Sasa sijui katokea mtu wapi huko eti anadai kitendo kile...
4 Reactions
17 Replies
966 Views
Habari wana JF? nahitaji msaada wa majibu katika mtihani huu kwa kiswahili. kiukweli mimi umenishinda kabisa ni mtihani wa online 1. Ipi kati ya chaguo lifuatalo inawakilisha njia sahihi ya...
0 Reactions
4 Replies
771 Views
Unda neno la kiswahili lenye mchanganyiko huu wa herufi LOKEITAPA
0 Reactions
2 Replies
439 Views
Back
Top Bottom