Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
KISWAHILI KITMU SANAHUKU NA KULE...- Peni yangu Andanenga, uwino unapotona, Mantiki huzilenga, na balagha na bayana ,Hufaidika malenga, huvurugika akina ,Nyege ni kunyegezana, msemo wa...
4 Reactions
14 Replies
19K Views
bha'aabhoooo...karibuni, zya nsiko...habari za siku, mwee wapanga...hamjambo?, mwangaloka...habari za asubuhi, wa kukaya...wa nyumbani, kalibhu halugo...karibu nyumbani, kalibhu hakaaya...karibu...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Lugha yetu ya kiswahili ina methali nyingi sana ambazo si watu wote wanazijua au kuzitumia. Nitaanza kwa kuweka methali rahisi na maarufu sana, kisha ukinipa jibu toa yako au zako unazojua...
1 Reactions
5 Replies
255 Views
Asili ya neno punyeto Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri. Asili yake Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese) Neno la asili ni punheta, ambalo pia...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Tanzania y Zanzíbar representan una de las combinaciones de viaje más completas y espectaculares de África. Cada año, miles de viajeros internacionales visitan Tanzania para descubrir la increíble...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Nimeshuhudia hii "h" ikiongezeka kwa kasi mahali isipohitajika. Kwanza ilianzia kwa wanamuziki wa bongofleva na sasa inaunguruma kote mitaani haswa kwenye kuandika ujumbe wa maneno kwa kutumia...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna tofauti iliyopo kati ya neno Niko na nipo japokuwa hatuizingatii sana tunapoandia au kuongea. Niko Inarejelea sehemu kwa mfano sasa hivi niko chumbani najamiiana na mke wangu. Nipo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kiswahili: nifahamishemi kwa lugha nyepesi sana maana ya neno "Mtambuka" Nimeskiliza jamaa huyun hapa chini, bado sikuweza kumwelewa sawasawa. Kuna rafiki yangu mzuri sana hapa...
1 Reactions
10 Replies
342 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kukuza ubora wa elimu kwa kuandaa mashindano ya umahiri wa lugha ya Kichina, “Chinese Proficiency for Foreign College Students...
1 Reactions
4 Replies
182 Views
In Samia Suluhu’s authoritarian dictionary 👉🏽Criticism of her = wananitukana 👉🏽Protests/ Maandamano = kufanya fujo 👉🏽To kill, abduct and torture = kuchapa mikwaju 👉🏽 Freedom of expression =...
5 Reactions
2 Replies
163 Views
Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye! Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini...
1 Reactions
71 Replies
63K Views
Niweze kujua tu hata kifaransa cha kunywea maji 1. Habari yako? 2. Safi/nzuri hujambo 3. Uko wapi, unafanya nini 5. Naomba maji 6. Njoo 7. Fanya haraka Na maneno mengine ya msingi.
0 Reactions
4 Replies
278 Views
1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8...
3 Reactions
14 Replies
10K Views
Je kikwenu mama uitwaje? SISI kikwetu yaani kiganda, nyoko ni mama,ukitaka kujua Hali ya mama kiafya unaniuliza NYOKO MGUM? Je kwa kiswahili nyoko ni Nini? Je nyoko wako ndugu msomaji ni MGUM?
2 Reactions
10 Replies
509 Views
Habari wana JF Kuna kitu nimekuwa nikikiona mara kwa mara kwa wateja wanakuja kuulizia bidhaa dukani. Mteja baada ya salamu anauliza kwa kutumia wingi, hata kama anahitaji kitu kimoja tu...
4 Reactions
27 Replies
545 Views
Vihusishi 'na' na 'kwa' vinakosewa sana katika matumizi kiasi cha kuleta mkanganyiko katika mawasiliano ya kila siku. Kwa mfano, mtu anasema "Nilisafiri na gari", badala ya "Nilisafiri kwa...
5 Reactions
20 Replies
937 Views
Unajua kuna wasomi wamesoma mpaka Masters PhD ila cha kushangaza mtu huyu anapoambiwa jitambulishe anaanza kwa kusema "kwa majina ninaitwa........" kaka na dada zangu sio kwa "kwa majina" ila...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Matumizi ya vitu hivi viwili KATIKA kuremba nywele, huchanganya. Ukweli ni huu. Kazi ya Chanuo ni kuchana nywele, YAANI kutengenisha nywele kimakundi. Kazi ya kitana ni kutana nywele neno...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
Wakuu, Kwa wale wanaozijua lugha hizo mbili naomba mnisaidie. Mimi sio mzungumzaji wa lugha yeyote kati ya hizo ila naweza kusema kwamba naelewa baadhi ya maneno au sentesi sababu nimekuwa...
6 Reactions
26 Replies
885 Views
Haya ni maneno mapya ya mitandaoni. Usahihi ni upi kati ya akili mnemba na akili unde?
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Back
Top Bottom