Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu hivi Popoma maana yake ni nini ? ni MTU wa aina gani .?
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Udelele ni mate mazito yanayomtoka mtu labda kama ni punguani au ana matatizo Dovuo ni mate mazito yanayomtoka mtu akiwa usingizini, huwa yana harufu kali Udenda ni mate yanayomtoka mtu kutokana...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Mwalimu na nguli wa lugha ya Kiswahili kutoka BAKITA Mzee Sigala anatuelezea maana halisi ya neno ngono Je na wewe pia ulikuwa una elewa hivyo ukisikia neno ngono? Soma pia: Ondoa Mikosi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi. 1. Amekwenda kuwatembelea ndugu, jamaa na marafiki. Hapa jamaa ina maana watu ambao una mahusiano nao ya...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Kuna huyu bwana mdogo J. Nkumbi nimepata kumfuatilia siku 2 tatu hizi nimefurahishwa sana na maneno yake. Kwa kweli kiswahili ni lugha nguvu kuliko hata kimombo ila huyu bwana mdogo anakipiga...
4 Reactions
15 Replies
10K Views
Tangu waandishi wa habari na watangazaji kupotea "disappeared in the thin" na kutosikika neno Ithibati likachipuka ghafla hasa wiki hii. Licha ya utaalam wangu na uzoef Katika lugha hii kuntu...
1 Reactions
3 Replies
635 Views
It s not a competition but let us be entertained and entertain ourselves by debating . Other may also join but only english. Feel free and lets not be afraid of "kuchapia" as we did in in...
11 Reactions
765 Replies
75K Views
Mh. Polepole amejiuzuru gafla shuguli za siasa - ❌ Mh. Polepole amejiuzulu ghafla shughuli za kisiasa - ✅ Maneno mengine ambayo nimesikia yanakosewa mara nyingi. azabu - adhabu ✅ tajili -...
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Swahili weekdays mostly follow a logical numeric pattern combined with the word ‘juma’ ( nadhani inamaana wiki au siku), Jumamosi = first day Jumapili = second day Jumatatu = third day Jumanne =...
2 Reactions
6 Replies
684 Views
Mmesikia huko....... eti lakuvunda halina ubani.
0 Reactions
7 Replies
969 Views
Mambo vp wadau Umekuwa ukitamani kujua/kujifunza lugha ya kifaransa? Karibu tuwe pamoja kwenye hii thread uweze kujifunza maneno mbalimbali ya lugha ya kifaransa. Uliza swali lolote au neno...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Hivi ukiwa muislamu uliyesoma dini madrasa automatically unakuwa na uwezo wa kuzungumza Kiarabu kwa ufasaha na weledi? Unaweza kufika uarabuni mkazungumza na mwarabu mkaelewana vizuri au huwa cha...
21 Reactions
310 Replies
10K Views
Nisaidieni kutofautisha kati ya Uzinzi, Ufuska na Uasherati
2 Reactions
13 Replies
978 Views
Nimepata jirani mkongo ameni inspire LINGALA. Ozali malamu- mambo vp? Nazali kobela- naumwa Kombo na yo- jina lako nani? Bolingo na ngai- mpenzi wangu Posa ya mayi- kiu ya maji Muzina di tata...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Leo Julai 7, 2025, dunia inaadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani kwa lengo la kutambua na kuenzi mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuimarisha mawasiliano, utamaduni na mshikamano wa kijamii...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wataalamu wa lugha. Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha". Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
2 Reactions
156 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yamepotea ktk matumizi ya kila leo. Ni maneno ambayo wakati mwingine yanaachwa ilhali lilikuwa neno moja na kubadilishwa na sentensi. Baadhi ya maneno...
3 Reactions
107 Replies
12K Views
Mimi, mmoja wa watumiaji na mdau mkubwa wa lugha ya Kiswahili na mpenda maendeleo ya lugha hii adhimu, ninaandika malalamiko haya kwa masikitiko makubwa juu kukosekana kwa kamusi mtandao ya...
1 Reactions
4 Replies
488 Views
Habari gani wana JF. Wakuu nawakaribisha wale wote wanaojua kiswahili cha Kenya hasa misamiati wanayotumia wanapoongea, misemo yao pamoja na ule mchanganyiko wao wa maneno ya kiingereza na...
19 Reactions
161 Replies
5K Views
Wana bodi naomba kufahamu kuhusu neno hilo ambalo limekuwa likitumika hasa katika maandiko yanayohusu siasa, neno MEKO limekuwa maarufu hadi Twitter na platform nyingi za kisiada, Mara nyingi...
4 Reactions
26 Replies
12K Views
Back
Top Bottom