Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wadau nasikitika kuwa kampuni ya simu ya mikononi Tigo wanakata fedha katika simu kila wanapotuma SMS zao juu ya ujio wa Rick Ross kwenye tamasha la fiesta, Binafsi sijaomba kupewa taaarifa zozote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Truly God gives peace that no one can give. Truly God is the protector than no one else. Truly God can lead prudent leaders to maintain peace in the land, but the unwise he will not support...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Ipi ni misemo sahihi ya Kiswahili ktk jozi zifuatazo? 1. (a) Ndoo inavuja. (b) Maji yanavuja. 2. (a) Gari limejaa. (b) Abiria wamejaa? 3 (a) Nikopeshe sh mia tano nitarejesha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Watangazaji wengi wa radio na luninga wanapenda sana kutumia msemo huu, "muda si rafiki tena" wakati kipindi kikifikia mwisho wa muda wake uliopangiwa. Je wataalamu msemo huu ni sahihi, Naomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baya lisilo kudhuru sawa na zuri lisilo na faida.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika Majukwaa Yaliosinzia,Jukwaa Hili Limetia Fora. Hakuna Threads Mpya Na ata M2 akiweka Thread Hakuna Anaehangaika Nao. Kwa Mwendo Huu 2tajifunza Nini? Kiukweli Mpaka Michosho.hasanteni Na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mfano umeweka simu yako kwenye mfuko wa suruali, lakini wakati unatembea kwa bahati mbaya simu ikapiga namba ya mtu (ikajipiga yenyewe) bila ya wewe kufahamu! tunasemaje kwa kiingereza kitendo cha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
The Best of Friends, © Jill Wolf, The best of friends, Can change a frown, Into a smile, when you feel down. The best of friends, Will understand, Your little trials, And lend a hand. The best...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Sometimes in life we waste much time and energy seeking/searching for things that are not important and things that even if we get them we can not make use of them. Rural wisdom On a platform...
1 Reactions
1 Replies
838 Views
How many phonemes in English do we have? Which are they? How can they be categorized? What is stress? How can we simply know places stress to be used? Lastly,i would like to know the simplicity of...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
A few years ago, nobody thought as sacrilegious the day when a young Nairobi Christian would refer to God as ‘ Father wa Ma-sky ’. That is “Our Father in Heaven” in Sheng, and it is perfect...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
An old man appeared on a popular TV program. He had received a prize for having won a contest. He stole the show with his exuberant spirit and quick wit. ‘It’s easy to see, ‘remarked the...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Wadau wa jf najua most of the members humu ni wale madegree holders ambao munapenda kutumia sana kimombo kile kigumu kigumu na kutuacha cc fm 4 wa kata kutoambulia kitu eti'WIFE MATERIAL NDO NINI'...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi mtu ambae mmeoa katika familia moja, we umeoa mkubwa yeye kaoa mdogo unamuitaje? Mke wa mjomba ni sahihi kumuita shangazi? Mume wa shangazi unamuitaje? Baba yangu anamuitaje baba mkwe/mama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau wa lugha naomba mnipe ufafanuzi kwamba ukipiga picha hili basi lina wachezaji wa Yanga ndani (bila yule kocha mdhungu) kiburudisho kitakua nini? Maneno Yameandikwa BONGE LA KIBURUDISHO...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hivyo inakuaje mtu mzima unavaa tshirt kifuani ina maandishi makubwa kabisa ya IM PORN STAR ....Dah mi sion poa kabisa.
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Kabila la kichaga limagawanyika maeneo mangapi, je lugha ya kichaga imegawika maeneo mangapi ?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jamvi tusaidiane LUGHA MAMA(lugha ya kikabila) inaathiri vipi maendeleo ya mwanafunzi kujifunza?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Samahani kwa usumbufu wakubwa naomba kujua kwa lugha ya kingereza ghorofa linaitwaje?
1 Reactions
37 Replies
18K Views
Alama za wanafiki, ni tatu bora uzijue Katu nae haaminiki, japo ahadi azitoe Pia na hasadikiki, hatumizi maaganoe Alama yake ya pili...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom