Nini tofauti ya Kiswahili SANIFU na FASAHA?

Kuongea/kuandika Kiswahili Fasaha ni ile jinsi unavyo andika au kuongea bila kukosea kutamka herufi mfano: Ukiandika Neno Barua (walaka) hapo umeandika au kutamka kiswahili fasaha, kinyume chake BALUA hili neno si Kiswahili fasaha japokuwa unaweza kueleweka.

Kiswahili Sanifu ni kiswahili kilichofanyiwa marekebisho kutoka lugha nyingine na kuingizwa kwenye lugha husika... mfano neno... password ni nywila, barua pepe (email) nk.

Kwa ufupi tunaweza kusema kuwa ufasaha na usanifu ni kiswahili kilicho tungiwa kanuni zinazokubalika kwenye uwanja wa taaluma ya lugha.
 
Kuongea/kuandika Kiswahili Fasaha ni ile jinsi unavyo andika au kuongea bila kukosea kutamka herufi mfano: Ukiandika Neno Barua (walaka) hapo umeandika au kutamka kiswahili fasaha, kinyume chake BALUA hili neno si Kiswahili fasaha japokuwa unaweza kueleweka.

Kiswahili Sanifu ni kiswahili kilichofanyiwa marekebisho kutoka lugha nyingine na kuingizwa kwenye lugha husika... mfano neno... password ni nywila, barua pepe (email) nk.

Kwa ufupi tunaweza kusema kuwa ufasaha na usanifu ni kiswahili kilicho tungiwa kanuni zinazokubalika kwenye uwanja wa taaluma ya lugha.

X-PASTER,

Nisaidie hapo,ipi ndiyo fasaha: waraka au walaka?
 
Naona fasaha ni Kiswahili kizuri, lugha ya kupendeza.

Sanifu inalenga zaidi msamiati wake na na mapatano juu za chaguo la maneno na umbo wa maneno.

Yaani Kiswahili kimezaliwa kutokana na lahaja mbalimbali kama vile Kimrimba, Kimvita, Kiamu. Hapakuwa na staili ya pamoja. Tangu 1930 kazi ya kusanifisha ilileta lugha sanifu kwenye msingi wa Kiunguja.
Linganisha [ame]http://sw.wikipedia.org/wiki/Lahaja_za_Kiswahili[/ame]

Maana thenashara au kuminambili yote ni Kiswahili, katika shairi yote yaweza kuitwa "fasaha" lakini "kumi na mbili" ni sanifu.
 
Punde: Soon, in a little while, presently

Punde si punde: Inatumika kwa kumaanisha: Baada ya muda mchache (soon, in a moment, Thereafter)

Punde kwa punde: Kidogo kidogo (little by little, gradually)

Hivi punde: Muda mchache, (Shortly)

Mifano:

  • Kiswahili: tulikuwa tunamngoja, na punde akaja.
  • English: we waited for him, and he soon came.
 
PUNDE ni muda mpufi baada ya tukio au maongezi, (baada ya kumwita PUNDE alitokea)

PUNDE SI PUNDE,ni muda hule hule hatata tukio halijamalizika au maongezi hayajamalizika alikuja,(wakati tunamzungumza punde si punde alitokea,) ni kaka kusema KUFUMBA BA KUFUMBUA:
 
kwa kutumia lahaja nne orodhesha maneno matano kutoka kwa kila lahaja na utoe maana yake kwa kiswahili fasaha .naombeni michango yenu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom