Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Je unataka kufahamu au kuboresha lugha ya kiingereza? tunafundisha lugha ya kiingereza kwa matamshi ya kiingereza au kwa matamshi ya kimarekani. karibu kwa ajili ya huduma hii bei yetu ni nzuri na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Elezea mitazamo mbalimbali kuhusiana na chimbuko au asili ya lugha
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Hello wadau wa jukwaa hili,ningependa kushare information kidogo on Phrasal verbs.Hizi zinakuwa kama nahau kwa kiswahili,namaanisha maneno yaliyotumika yanakuwa na maana tofauti na ile tuliyoizoe...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanabodi, Hebu leo tujadili mwelekeo wa lugha ya Kiswahili na hasa tukiangazia ukuaji wake kwenye msamiati na istilahi. Tunatambua kuwa lugha ya Kiswahili (pamoja na ukopaji na utohoaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naombeni mwenye nakala za hivyo vitabu anitupie hapa basi. Ahsanteni
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Swala linatumika sana Tanganyika ingawaje siku za karibuni nimeona matumizi ya suala badala ya swala yakiongezeka sana Bara. Wenzetu wa visiwani wanatumia suala. Kuna maneno mengi yana tofauti...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Napenda sana kusoma yale tunayoandika humu JF (Pamoja na mabandiko yangu) na wakati mwingine hujipa muda wa kutafakari kama kweli sisi kama ndiyo wahifadhi na wamiliki halali wa Lugha ya kiswahili...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau ni hivi naomba kuuliza maneno haya katika vyuo mbalimbali vya mafunzo ya kijeshi yana asili ya wapi kama vile KADEBLA,DOSO,nk mengine mnaweza ongeza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninaomba translation ya sentensi hii kwa lugha ya kiswahili fasaha: New Solutions to Challenges of Medical Care in Tanzania
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nalikuta maana nyingi limetumiwa katika sentensi kama hii hapa chini..... chambilecho wasemaji wa kiswahili.."hata mbuyu ulianza kama mchicha"
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Talk a Talk and Walk a talk
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Do 1. Form Principal parts: do-did-done Present tense: Affirmative Negative Interogative I do I do not(don’t) do I...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
2 Reactions
15 Replies
5K Views
kuchoreka kushoboka maunguli (wa filamu) Na pia eti kuna gari TZ linaitwa Skylet/Scarlet? Asanteni! :)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuchambwa au kuchamba naona linatumika mno na kina mama hasa kwenye mipasho je ni neno sahihi nje ya toilet? na usahihi na maadili yake kutumika ukoje?
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Morning JF People na wakereketwa woote Jamani, as u know JF is not only the home of great thinkers kama mm but pia ni kituo cha kupata maarifa na kujifunza mambo mbali mbali..sasa mm nimeamua...
3 Reactions
19 Replies
9K Views
Nimezamishwa kinani, kwenye lindi la huzuni, pakushika sipaoni, mwenzenu ni simanzini, Nina uchungu moyoni,limenikuta jamani, Umenipata msiba. Mwana kukuza nyumbani, na vyuoni masomoni...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Napenda kufahamu kinyume cha neno "Dhaifu".Kisha mnisaidie kutaja nani kati ya marais awamu zote ni dhaifu zaidi.Kuanzia wa kwanza kwa udhaifu hadi wa mwisho ambae atakuwa na jina ambalo ni...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
haya maneno hutumika sana, lakini neno moja halina maana nzuri, sasa nikukaribishe wewe JF member unisaidie Mazingira ambayo naweza kutumia haya maneno.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
THE MERRY WIVES OF WINDSOR (HERI WANAWAKE WA WINDSOR) Performed in Swahili by Bitter Pill from Nairobi, Kenya. (with scene description in English) TAZAMA VIDEO NZIMA HAPA: Shakespeare: Globe to...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom