Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza. Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza. Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao...
Uandishi sio mzuri mjitahidi
Kabla ya Julius Nyerere hajawa kiongozi wa TANU na hali ya siasa za Tanzania zilikua kama ifuatayo;-
Changamoto kubwa ya TAA na baadae TANU ilikuwa ni power struggle...
Hi ni HISTORIA kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Tanzania kwa kushindwa kabisa KUWAKAMATA waliotenda UHALIFU huu
1.Waliompiga RISASI Mwanasiasa TUNDU LISSU
2.Waliomteka Mfanyabiashara MO DEWJI...
United Kingdom, island country located off the northwestern coast of mainland Europe. The United Kingdom comprises the whole of the island of Great Britain—which contains England, Wales, and...
TUNAYOPENDA TUSAHAU
Kuna mambo wala huhitaji kuyaeleza.
Huhitaji kueleza historia ya Auschwitz.
Dunia nzima inaijua.
Kitabu hiki ni muhimu katika kuijua historia ya mauaji haya ya tarehe 26 na...
Mwaka wa 1952 Ahmed Rashaad Ali alimwandikia Gamal Abdel Nasser Rais wa Misri barua yenye kurasa sita kuhusu mateso yanayowakabili wananchi wa Zanzibar chini ya usultani.
Rashaad alimuomba Nasser...
Ni story ambayo naisikia kwa muda mrefu sana tangu nikiwa shule ya msingi.
Ningependa kujua ukweli wake wa uhalisia uliokuwepo.
Kiutawala Uganda ilikuwa chini ya Tanzania hata baada ya Uganda...
SHEFFIELD UNITED FC MAGOMENI MAPIPA
Dar es Salaam ya miaka ya 1960 ulikuwa mji wa vilabu vya mpira vya mitaani vya vijana wadogo wanaoinukia katika mchezo huo.
Vilabu vilikuwapo na viwanja vya...
TUNU NA FAHARI ALIYO ACHA LUMUMBA BAADA YA KIFO CHAKE NA DHALILI YA WATESI WAKE.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Sunday -3/07/2022
Marangu Kilimanjaro Tanzania.
Mwaka huu Patrice Émery...
Ndugu zangu,
Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?
Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.
Hapo chini...
Mwaka 2021, baada ya zaidi ya miaka 100, Berlin ilikiri kufanya mauaji ya kimbari nchini Namibia.
Wakoloni wa Ujerumani waliwaua zaidi ya Waherero na Wanama 70,000 kati ya 1904 na 1908...
Kuna watu hapa Afrika Mashariki wanabeza sana mapinduzi ya Zanzibar yaliyoongozwa na Mh Okello na kufanya miadhara kuyaponda!
Wana ajenda gani nyuma ya pazia?
Somalia kuna Wabantu ambao walifika huko wengi kwa Utumwa, maisha yao yalikuwa magumu kuanzia mwanzo Wasomali hawakuwahi kuwakubali na wamekataliwa kata kata na Msomali yoyote aliyejaribu...
2021 6 September
https://m.youtube.com/watch?v=KDnKXrJ_YxI
Collin Barry ZAF Commander | Docuntary About Zambia's White Air Force Commander Lt Gen Colin Barry! Zambia Air Force Commander Collin...
We have Muzungus here getting us ready to convice people that we Can become Europeans if we agere with Portugal that Zanzibar was just stolen by force with the hungry Omanis, Wana ushahidi wa...
KUMBUKUMBU ZANGU: MTAA WA KIPATA (SASA MTAA WA KLEIST SYKES)
Nimefika Mtaa wa Kipata leo majira ya asubuhi.
Siku zote nifikapo Gerezani na kupita mitaa yake kumbukumbu nyingi za utotoni hunijia...
Mohamed Said ni mwanaharakati na mwandishi wa habari. Habari zake nyingi ni kumponda Nyerere namna alivyowatelekeza wazee waislamu wa kariakoo baada ya Uhuru akidai kuwa hao wazee ndio waliodai...
MATATIZO KATIKA USAHIHI WA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Mwananyamala nje ya nyumba ya Mzee Mwinjuma Mwinyikambi kumewekwa kibao kinachosema kuwa TANU iliasisiwa ndani ya nyumba hiyo tarehe 7...
UTANGULIZI
Nimeweka historia nne za kuasisiwa kwa chama cha TANU.
Kuna historia ya TANU inayoanza na Mwalimu Julius Nyerere akiunda TANU ndani ya Misheni ya Kanisa Katoliki Tosamaganga, Iringa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.