Masikio Masikio
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,840
- 3,378
Uandishi sio mzuri mjitahidi
Kabla ya Julius Nyerere hajawa kiongozi wa TANU na hali ya siasa za Tanzania zilikua kama ifuatayo;-
Changamoto kubwa ya TAA na baadae TANU ilikuwa ni power struggle kila mtu alikua anataka awe kiongozi na hakuna mtu aliyeweza kuunganisha wanachama ambao walikua makundi makundi. Hii ilipelekea TANU kuwa na wakati mgumu sana sababu kama hamna maelewano kabla hata ya uhuru mkija kupewa nchi itakuaje
Hakuna kiongozi wa TANU aliyekua na maono mapana ya kuunganisha nchi kwani wengi wao walidhani wanadai uhuru wa Dar es Salaam, walikua na ufahamu na nchi nzima ili hawakuwapa uzito maeneo mengine ya nchi.
Changamoto lingine ni swala la udini, viongozi wa TANU walitaka nchi kuwa ya kislamu na kuongozwa kislamu kitu ambacho mkoloni alikikataa sababu walitaka mtu atakaye leta usawa kwa dini zote kumbuka kabla ya uhuru waislamu walikua asilimia 35 na wakristo 30 na ndio mara ya mwisho Tanganyika kufanya sensa kujumuisha kipengele cha dini.
Na concern kubwa sana ya mkoloni ni swala la udini sababu kuna kosa alilifanya India na Pakistani hakutaka tena lijirudie Tanzania swala la usawa kwa dini zote alilichukulia kwa uzito mkubwa sana
Mkoloni aliwapa masharti kabla hawajarudi tena ku-discuss juu ya uhuru wawe wamesha-sort out juu ya swala la uongozi kwa sharti la awe mkristo, amesoma na mwanachama hai wa TANU kwa hiyo bila kupenda ikabidi wamchague Julius Nyerere
Nyerere kuwa kiongozi wa TANU ni uamuzi wa kutokupenda kwa wapigania uhuru na ndio the only best choice ambayo ilikuwepo kunauwezekano wako ambao walikua wazuri zaidi kwa kigezo cha elimu na uongozi zaidi ya Julius Nyerere ila wengi wao walikua ni wachungaji na mapadre kwa hiyo ingewawia vigumu kuunganisha nchi
Kwa hiyo Nyerere na mapungufu yake alikua ni mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile
Kabla ya Julius Nyerere hajawa kiongozi wa TANU na hali ya siasa za Tanzania zilikua kama ifuatayo;-
Changamoto kubwa ya TAA na baadae TANU ilikuwa ni power struggle kila mtu alikua anataka awe kiongozi na hakuna mtu aliyeweza kuunganisha wanachama ambao walikua makundi makundi. Hii ilipelekea TANU kuwa na wakati mgumu sana sababu kama hamna maelewano kabla hata ya uhuru mkija kupewa nchi itakuaje
Hakuna kiongozi wa TANU aliyekua na maono mapana ya kuunganisha nchi kwani wengi wao walidhani wanadai uhuru wa Dar es Salaam, walikua na ufahamu na nchi nzima ili hawakuwapa uzito maeneo mengine ya nchi.
Changamoto lingine ni swala la udini, viongozi wa TANU walitaka nchi kuwa ya kislamu na kuongozwa kislamu kitu ambacho mkoloni alikikataa sababu walitaka mtu atakaye leta usawa kwa dini zote kumbuka kabla ya uhuru waislamu walikua asilimia 35 na wakristo 30 na ndio mara ya mwisho Tanganyika kufanya sensa kujumuisha kipengele cha dini.
Na concern kubwa sana ya mkoloni ni swala la udini sababu kuna kosa alilifanya India na Pakistani hakutaka tena lijirudie Tanzania swala la usawa kwa dini zote alilichukulia kwa uzito mkubwa sana
Mkoloni aliwapa masharti kabla hawajarudi tena ku-discuss juu ya uhuru wawe wamesha-sort out juu ya swala la uongozi kwa sharti la awe mkristo, amesoma na mwanachama hai wa TANU kwa hiyo bila kupenda ikabidi wamchague Julius Nyerere
Nyerere kuwa kiongozi wa TANU ni uamuzi wa kutokupenda kwa wapigania uhuru na ndio the only best choice ambayo ilikuwepo kunauwezekano wako ambao walikua wazuri zaidi kwa kigezo cha elimu na uongozi zaidi ya Julius Nyerere ila wengi wao walikua ni wachungaji na mapadre kwa hiyo ingewawia vigumu kuunganisha nchi
Kwa hiyo Nyerere na mapungufu yake alikua ni mtu sahihi kupewa nchi kwa mazingira ya kipindi kile