Juni 11, 2010, katika Uwanja wa FNB maarufu “Soccer City", kulikuwa na ufunguzi wa Kombe la Dunia. Siku hiyo, Desmond Mpilo Tutu, alikuwa kwenye kiwango bora cha furaha. Kwa Kiingereza unaweza...
Pembetatu ya Kionga ilikuwa eneo dogo la kilomita za mraba 395 kusini mwa Mto Rovuma kwenye Bahari ya Hindi, ambayo ilienea kaskazini mwa Rasi Delgado . Ndani ya eneo hilo kuna mji wa Kionga...
Ilikua ni Jan 25 mwaka 2009, ndege aina ya Airbus A320 mali ya Us Airways chini ya captain Chelsey Burnett (captain Sully) ikiwa na abiria 155 kwenye uwanja wa ndege wa laGuardia uliopo mji wa...
Sehemu ya kwanza.
Kabla ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar,Tanzania ilikuwa ikujulikana kama Tanganyika.
Tanzania ni moja kati ya nchi kadhaa duniani zenye kuhifadhi wakimbizi na kundi kubwa...
BUKU LA BIUBWA AMOUR ZAHOR LIMEFUNUA CHANO HADHARANI
Jana Zanzibar kulikuwa na mambo matatu makubwa kwa aina yoyote ya kipimo.
Kulikuwa na kongamano la Maalim Seif Foundation, Maadhimisho ya...
Katika Kitabu cha Matendo ya mitume 13:6 tunasoma;
"Basi, Barnaba na Saulo walipokwisha tumwa na Roho Mtakatifu, walishuka hadi Seleukia, na kutoka huko walipanda meli hadi kisiwa cha Kupro...
SUNDERLAND FOOTBALL CLUB 1960s
Picha hizi nikiziangalia leo zinanikumbusha udogo wangu nikienda Ilala Stadium kuangalia mpira.
Wengi katika wachezaji hawa wametangulia mbele ya haki na baadhi...
#Elimika
Mfahamu kwa Ufupi OTA BENGA,
Ni kijana mdogo wa Mbuti huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zamani ikiitwa Zaire,
Alizaliwa mwaka 1883 huko Kwenye misitu ya Ituri nchini Congo...
BILAL REHANI WAIKELA NA HISTORIA YA TANU WESTERN PROVINCE 1955
‘’Juhudi za kuihuisha TANU zilikuja mwaka 1955 mwaka mmoja baadae kupitia Young New Strong Football Club - kilabu ya kandanda...
MZEE BILAL REHANI WAIKELA AMELAZWA MOI GOROFA YA 2 CHUMBA NO 2 KITANDA NO. 5
Ndugu zangu leo asubuhi nimejaaliwa kwenda MOI kumjulia hali Mzee Waikela.
Nimemkuta macho na namshukuru Allah kwa...
Kuna chembechembe ya damu
zinazokonekti kwa Wana wa Israeli na Kabila la Wachaga ambalo linapatikana Mkoa wa Kilimanjaro, Kaskazini mwa Tanzania. Yapo madai kwamba, Wachaga asili yao ni Wafalasha...
Wakuu leo nimemkumbuka RPC wa Dar es Salaam miaka hiyo huyu mzee alikuwa machachari sana, akikamata silaha utafurahi anavyowasilisha. Dah!
Anaitwa nani kwa anayemkumbuka?
CHAGGA DAY
TUIKUMBUKE SIKU HII KWA KUREJEA KATIKA MAISHA YA RAJABU IBRAHIM KIRAMA NA BABA YAKE MURO MBOYO KATIKA MIAKA YA 1800
Chagga Day ni siku iliyokuwa ikiadhimishwa kila mwaka ifikapo...
I have before looked into ancient history of Tanzania and Arabic history of Tanzania, but I am very curious to what I can find out from people who are more adept in the subject.
Does anyone know...
Hotuba ya Martin Luther King ya "I have a dream", akitaka usawa kati ya jamii zote nchini Marekani, ni mojawapo ya hotuba za kutia moyo, zenye ushawishi na maarufu nyakati za kisasa. Lakini leo...
Unaposoma Bayographia ya Mwalimu iliyotayarishwa na wanazuoni watatu ukurasa wa 125 hadi 126 kuna simulizi fupi ifuatayo
Mwanzoni mwa miaka ya 80 kulikuwa na tatizo la baadhi ya wamiliki wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.