https://youtu.be/t4HhcYoQmeI
Mtu anapozungumza asichokijua.
Anamtaja Abdul kuwa alikuwa mzee.
Anasema Abdul Sykes hakusoma.
Abdul Sykes alikuwa na miaka 28 Julius Nyerere miaka 30.
Nyerere...
HISTORIA MPYA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Hii makala niliiweka FB siku kama ya leo mwaka jana (2019) baada ya kuangalia video ya kiongozi mmoja wa kanisa akieleza historia ya TANU ambayo...
HATARI YA KIONGOZI KUZUNGUMZA ASIYOYAJUA: ''MZEE'' ABDUL SYKES NA ''KIJANA'' JULIUS NYERERE
https://youtu.be/t4HhcYoQmeI
''MZEE'' ABDUL SYKES NA ''KIJANA'' JULIUS NYERERE
Kiongozi anapozungumza...
Katika hotuba yake ya kuaga Diamond Jubilee Hall mwaka wa 1985 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alimtaja Abdul Sykes.
Mwalimu alipita njia tu hakumweleza Abdul Sykes alikuwa nani...
MANGI MKUU THOMAS MAREALLE MANGI MSWAHILI
Mara yangu ya kwanza kusoma historia ya Mangi Mkuu Thomas Marealle ilikuwa ndani ya Nyaraka za Sykes wakati natafiti kitabu cha maisha ya Abdul Sykes...
BETI TATU ZA JULIUS NYERERE KUOMBOLEZA KIFO CHA SHAABAN ROBERT 1962
Leo asubuhi katika pitapita yangu Maktaba nimekutana na kitabu cha Prof. George Mhina, ''Mwalimu Nyerere na Tanzania," (1980)...
TAAZIA: NINAVYOMKUMBUKA YUSUF SALUM MALETA 1960s
Yusuf Salum Maleta ni kaka yangu.
Mwaka ni 1963 nimekuja kutoka Moshi nilipokuwa nasoma na nimefikia nyumbani kwa mmoja wa baba zangu Mzee...
Hata hivyo, tarehe 14 Novemba, 1968, Baraza la EAMWS la Tanzania liliitisha mkutano wajumbe kutoa mikoa yote ya Tanzania kujadili ‘’mgogoro.’’
Pamoja na waliohudhuria ni wajumbe kutoka mikoa...
Kipindi cha Ali Hassan Mwinyi, Aga Khan alikuja nchini kwa mara ya kwanza baada ya kutokanyaga ardhi ya Tanzania kwa miaka 20. Kwa maneno ya Mohamed Said Aga Khan aliitisha mkutano wa Waislamu...
WARANGI – 2: KABILA LILILOJIVUNIA MNO ASILI YAO
Warangi ni warembo hasa.
Na Innocent Nganyagwa
NAWAKARIBISHENI tena kwenye safu yetu ya mambo ya Asili na Fasili, kama ilivyo ada yetu kila...
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni
Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya...
BARAKA SHAMTE ANAPOPULIZA BARAGUMU LAKE
https://youtu.be/hiK5cjWtf_A
Kwa mara ya kwanza kumuona Baraka Shamte ilikuwa mwaka wa 1995 siku ya pili baada ya Zanzibar kupiga kura Maalim Seif Shariff...
Uislamu ni "Trojan-horse" wa ukoloni wa Kiarabu.
Mwanzilishi wa dini hiyo alikuwa Mwarabu.
Kitabu chao kitakatifu kiko katika lugha ya Kiarabu.
Lugha unayopaswa kujifunza na kutumia katika sala...
Kama ulizani umesikia yote, si kweli
Chanzo: Chronicles Rw
UCHAMBUZI
Taarifa au Tetesi si hii ina ikweli kiasi gani?
Tuanze hapa
Karne ya 18 Pwani ya tanganika ilitawaliwa na mportugue ambaye...
Huu ni mtazamo wa kihistoria ambavyo watu wakubwa na wenyewe ushawishi katika jamii ikiwemo viongozi wa serikari, jinsi ambavyo wanaungana kufanya njama(conspiracy) ya kuwanufaisha wao lakini...
Leo Ni Sikukuu Ya Wachagga Duniani(World's Chagga Day), Ni Siku Kubwa Iliyokuwa Inaadhimishwa Kila Mwaka Siku Ya Novemba 10, Miaka Ya Kabla Ya Uhuru wa Tanganyika na Miaka Michache Baada ya Uhuru...
MAPINDUZI YA ZANZIBAR: KUNA MAMBO WAZANZIBARI WANGEPENDA KUYASAHAU
Jana nimeandika hapa kuwa katika mahojiano ndani ya kipindi cha mapinduzi na Azam TV nilijizuia kueleza historia ya yale...
Mwaka jana nilibahatika kwenda Arusha kikazi ambako nililazimika kukaa kwa muda wa majuma mawili. Kuna mambo ya maana nimejifunza kutoka kwa kabila la wachaga, ambayo kama watanzania tukiyatilia...
Historia ya Ng'wanamalundi
Hebu leo mjue vizuri huyu mtu wa miujiza aitwae Ng'wanamalundi shujaa wa Kisukuma aliyewatesa Wajerumani.
Kwa wale waliopata kusoma historia au kusikia hadithi za...
Kigwangalla ahoji viongozi wa umma walionunua nyumba hivi karibuni maeneo ya Masaki na Oyesterbay zenye thamani ya mpaka dola milioni 6, huku akitaja wengine wana mali za namna hiyo sehemu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.