Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,925
- 30,273
TUNAYOPENDA TUSAHAU
Kuna mambo wala huhitaji kuyaeleza.
Huhitaji kueleza historia ya Auschwitz.
Dunia nzima inaijua.
Kitabu hiki ni muhimu katika kuijua historia ya mauaji haya ya tarehe 26 na 27 Januari 2001.
Kitabu hiki alinipa Prof. Lipumba na aliniandikia alichotaka nifanye baada ya kukisoma.
Kuna mambo wala huhitaji kuyaeleza.
Huhitaji kueleza historia ya Auschwitz.
Dunia nzima inaijua.
Kitabu hiki ni muhimu katika kuijua historia ya mauaji haya ya tarehe 26 na 27 Januari 2001.
Kitabu hiki alinipa Prof. Lipumba na aliniandikia alichotaka nifanye baada ya kukisoma.