Lini Tanzania ilibadili msimamo wake kuhusu Israel?

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,922
30,271
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

1699673492764.jpeg

1699673564282.jpeg
 
Mzee Mohamed Siasa/ Diplomasia huongozwa na maslahi. CCM ya Leo sio ya Jana wala juzi!
Mwaka 2017/18 tulihalalisha Uhusiano na Jerusalem ,kama ilivyokuwa Kwa Morocco ! Hivi sio ndio wamejenga Msikiti wa Kinondoni!?
Imetokea mara nyingi tu ..tulikuwa na ugomvi la Ghadaff baadaye tukayamaliza!
Kinachogomba ni nani anapata Nini,wapi,wakati gani na anapataje!
Suala la Mashariki ya Kati ni kuwa Mvamizi/aliyechokoza vita(Hammas) kazidiwa ! Sasa hapo tumuonee huruma au tuwapatanishe !?
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

"Ingekuwa East Timor na wanaouliwa wangekuwa Wakatoliki...." Ni bahati mbaya saana maandiko yako yamejaa ubaguzi na chuki za kidini. Je, huyo Issa Ponda alitaka kuongoza maandamano kupinga kinachotokea Palestina kwasababu ya Uislamu wake au kupaza sauti kwasababu wanaouliwa ni binadamu? Hata kama ungekuwa na hoja, lakini uwasilishaji wako ni wa kibaguzi. Tangu lini Tanzania ikawa nchi ya kidini? Watu tunasahau haraka Sana....juzijuzi tu mlipiga kelele za kutochanganya dini na siasa, leo unataka maandano ya kidini yaruhusiwe?? Zitto Kabwe ni mdini kama wewe hivyo sishangai uliyosema kuhusu yeye.
 
Hiki ni tatizo kwake( Mzee Mohamed) na baadhi ya Waislam...! Wao Kila kinachofanywa na Mwarabu ni kizuri! Hmmbonankuna Waislam weusi huko Sudan wanajmchinjwa na Janjaweed wamekaa kimyaaaa!

"Ingekuwa East Timor na wanaouliwa wangekuwa Wakatoliki...." Ni bahati mbaya saana maandiko yako yamejaa ubaguzi na chuki za kidini. Je, huyo Issa Ponda alitaka kuongoza maandamano kupinga kinachotokea Palestina kwasababu ya Uislamu wake au kupaza sauti kwasababu wanaouliwa ni binadamu? Hata kama ungekuwa na hoja, lakini uwasilishaji wako ni wa kibaguzi. Tangu lini Tanzania ikawa nchi ya kidini? Watu tunasahau haraka Sana....juzijuzi tu mlipiga kelele za kutochanganya dini na siasa, leo unataka maandano ya kidini yaruhusiwe?? Zitto Kabwe ni mdini kama wewe hivyo sishangai uliyosema kuhusu yeye.
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

Tunaandamana kivipi na wakati mpaka sasa kuna watanzania wawili hawajulikani walipo? Hatujui kama wako hai au wamekufa...?
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

Hivi hapa duniani waislamu pekee yake wakutetewa wakiuliwa? Mbona wayahudi 1400 wameuawa na Hamas sijaona malalamiko ya zito kabwe na waislamu,mbona wakurdi wameawa na waturuki na mauaji ya warmenia na uturuki hatujaona malalamiko,waukraine wanaendelea kuuawa na urusi zaidi tunaona waislamu wanamshangilia Putin,tunaona alshababu,bokoharamu wanavyouawa wakristo,waislamu,wapagani hatuoni malalamiko yenu kwa haya makundi ya kigaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.

We mzee pamoja na zitto wote wafia dini
 
Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.
Zito siyo mbunge wa Kigoma mjini mkuu.
Pia hana uhodari wowote bali opportunist tu kama wanasiasa wengine wa kibongo

Janjaweed wakiua watu Darfur huwezi sikia Zito anakemea hata hapo DRC kila siku hawezi kemea. Wapemba wameuliwa 2020 lakini ndiyo kwanza Zito kajiunga na ccm kuwatawala Wapemba
 
Hivi hapa duniani waislamu pekee yake wakutetewa wakiuliwa? Mbona wayahudi 1400 wameuawa na Hamas sijaona malalamiko ya zito kabwe na waislamu,mbona wakurdi wameawa na waturuki na mauaji ya warmenia na uturuki hatujaona malalamiko,waukraine wanaendelea kuuawa na urusi zaidi tunaona waislamu wanamshangilia Putin,tunaona alshababu,bokoharamu wanavyouawa wakristo,waislamu,wapagani hatuoni malalamiko yenu kwa haya makundi ya kigaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Paschal, umeliweka vizuri sana hili. Uko Ukraine hakuna watu wanaokufa? Zitto na huyu mzee mbona wako kimya? Vilevile sijawahi kuwasikia wakitoa tamko la kulaani mauwaji ya Wayaudi million 6 wakati wa vita ya 2 ya dunia, lakini utawasikia wanalaani mauwaji yaliyofanywa na Crusaders mamia ya miaka iliyopita. Kwao wao Muislam akiguswa it is a story na kulalamika kwa Sana, lakini wanayoyafanya boko haramu, janja weed, alshababu na makundi kama hayo hutokaa uwasikie kabisa!!!
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.


Unaonaje hayo maandamano yakaanza na kushinikiza kuachiwa kwa mateka wanaoshikiliwa na hamasi akiwemo mtanzania mwenzetu na mpaka saivi hatujui alipo au walipo!
 
Baadhi ya waislam mnapenda kulalamika mno.
Na wavivu kutake actions na kama mkichukua hatua basi huwa ni hasi za kuwaumiza na nyie.

Hapo ndipo makundi mengine na watu wa fursa kupita kupitia ninyi. Na hapo ndipo superpowers hutumia kuaminisha dunia juu ya ugaidi kuhusianishwa moja kwa moja na dini ya kiislam.
 
Ndugu zangu,

Lini Tanzania ilibadili msimamo wake?

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ni kijana hodari mwenye kujua kuchagua maneno yake vyema.

Hapo chini ameandika masikitiko yake kuhusu Tanzania kukataa kupiga kura kulaani mauaji ya Waislam Myanmar.

Katika maandishi yake neno, ''Waislam,'' halipo.

Lakini dunia nzima inajua kuwa wanaouliwa Myanmar ni Waislam si suala la kuuliwa ''wananchi.''

Iwe itakavyokuwa Zitto Kabwe kaeleza masikitiko yake ili Watanzania wajue nini kimetokea.

Kwa sera ya Tanzania kuhusu msimamo wake wa kusimamia haki duniani kote kitendo hiki ni mabadiliko makubwa sana katika msimamo huo uliowafikisha Watanzania kupigana Msumbiji bega kwa bega na Frelimo na kutoa misaada kote kulikokuwa na dhulma sawa na kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliposema, ''Tunataka kuwasha mwenge uangaze kote na kuleta matumaini kule watu walikokata tamaa.''

Hii sera mpya ya kushindwa kulaani mauaji ya Waislam wanaouliwa Myanmar huenda ikawa ni sera mpya ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza Tanzania na uhusiano wake na mataifa mengine.

Ndiyo kusema kuwa sasa Tanzania haijali tena dhulma bali inaongozwa na maslahi yake mengine ambayo kwa bahati mbaya kwa sasa hayajakuwa bayana.

Tanzania ilianza na kurejesha uhusiano na Israel uliovunjwa na Baba wa Taifa mwenyewe nusu karne iliyopita.

Leo Tanzania imeridhia kutopiga kura kwenye mauaji ya kimbari ya Waislam wa Mynmar.

Wachunguzi wa siasa wanasubiri kutazama nini lingine litafuatia.

Labda hilo litatoa mwanga zaidi kuonyesha nchi yetu imesimama upande gani na kwa nini.

Ingekuwa ni kura ya East Timor na wanaouliwa ni Wakatoliki Tanzania ingekaa pembeni ikaacha kupiga kura?

Jibu unalo wewe ndugu msomaji wangu.

Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yamezuiwa yasifanyike na kiongozi wake Sheikh Issa Ponda, Katibu wa Shura ya Maimamu Tanzania amekamatwa.

Ndugu zangu iwe iwavyo.

Kweli Tanzania ni ya kuwazuia wananchi kufanya maandamano ya amani kuwaunga mkono Wapalestina?

Nitaweka hapa historia ya Wapalestina na Tanganyika kuanzia miaka ya 1940 hadi uhuru unapatikana na msimamo wa Nyerere katika kuwaunga mkono Wapalestina.

Umma unasubiri.


Sipendi mauaji ila ukiruhusu waislam katika nchi yako wafanye watakavyo tengemea maumivu mengi,uislamu ni imani ya kishamba na kihafidhina isiyotaka kuchangamana na imani zingine. Mbaya zaidi mafundisho yao yanaruhusu kuua na kuumiza wasio waislam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom