Hayati Mwinyi ameacha historia ya kumualika nchini Papa John Paul II na kukubaliwa mara Moja, ziara ikaratibiwa na Padre Slaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Mwinyi Papa.jpg

Papa John Paul II Mwaka 1990 alitembelea Tanzania na kukaribishwa na Rais Ali Hassan Mwinyi​


Kumualika Papa aketiye Kitini pake Mtume Petro ni jambo moja lakini Mwaliko wako kukubaliwa ni jambo jingine kabisa

Mzee Mwinyi alifanikiwa katika hilo na Papa John Paul II akafanya Ibada katika maeneo ya kimkakati kuwawezesha Watanzania wote kushiriki

Mungu wa Mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi

Mungu wa Mbinguni mbariki Dkt. Slaa

Jumaa Mubarak 😀

Pia soma >
Tujikumbushe ujio wa Papa John Paul II nchini Tanzania mwaka 1990
 
Alikuwa hajaanza kukaa na magenge ya kutafuta wanawake, mpaka akaamua kuachana na upadri. Sasa sijui yule jamaa alianza kumpeleka Bilicanas ndio akaanza kuonja wanawake huko
 
Inasemekana, narudia tena "Inasemekena" mana sina uhakika, kwamba mzee aliandika wosia kwamba akifa akazikwe Mkuranga pembeni mwa kaburi la baba yake. Na ni kweli hata historia yake inaonesha alizaliwa Mkuranga. Sasa kama ni kweli mzee aliandika wosia huo basi ni vyema wosia ukafuatwa, mana kutokufuata wosia wake ni kutomtendea haki marehemu. Hizo hoja za kisiasa kwamba akizikwa Mkuranga kijana wake atakuwa na wakati mgumu kisiasa pale Zenji kwamba ataonekana sio Mzanzibari hayana mashiko. Anaifanyia mambo makubwa Zanibar na wanzazibari wanampenda. Kumbuka Husein alishawahi kuwa mbunge wa Mkuranga kwa vipindi viwili ama kimoja, kama sijakosea, kabla ya kuamua kwenda kugombea ubunge Zanzibar na hatimaye urais. WOSIA WA MZEE UFUATWE.
 
Inasemekana, narudia tena "Inasemekena" mana sina uhakika, kwamba mzee aliandika wosia kwamba akifa akazikwe Mkuranga pembeni mwa kaburi la baba yake. Na ni kweli hata historia yake inaonesha alizaliwa Mkuranga. Sasa kama ni kweli mzee aliandika wosia huo basi ni vyema wosia ukafuatwa, mana kutokufuata wosia wake ni kutomtendea haki marehemu. Hizo hoja za kisiasa kwamba akizikwa Mkuranga kijana wake atakuwa na wakati mgumu kisiasa pale Zenji kwamba ataonekana sio Mzanzibari hayana mashiko. Anaifanyia mambo makubwa Zanibar na wanzazibari wanampenda. Kumbuka Husein alishawahi kuwa mbunge wa Mkuranga kwa vipindi viwili ama kimoja, kama sijakosea, kabla ya kuamua kwenda kugombea ubunge Zanzibar na hatimaye urais. WOSIA WA MZEE UFUATWE.

Acha fitina.
 
View attachment 2921084
Papa John Paul II Mwaka 1990 alitembelea Tanzania na kukaribishwa na Rais Ali Hassan Mwinyi​


Kumualika Papa aketiye Kitini pake Mtume Petro ni jambo moja lakini Mwaliko wako kukubaliwa ni jambo jingine kabisa

Mzee Mwinyi alifanikiwa katika hilo na Papa Yohanne akafanya Ibada katika maeneo ya kimkakati kuwawezesha Watanzania wote kushiriki

Mungu wa Mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi

Mungu wa Mbinguni mbariki Dkt. Slaa

Jumaa Mubarak

Pia soma >
Tujikumbushe ujio wa Papa John Paul II nchini Tanzania mwaka 1990
Sio papa tu, mpaka Michael Jackson alitimba during his regime.
 
Inasemekana, narudia tena "Inasemekena" mana sina uhakika, kwamba mzee aliandika wosia kwamba akifa akazikwe Mkuranga pembeni mwa kaburi la baba yake. Na ni kweli hata historia yake inaonesha alizaliwa Mkuranga. Sasa kama ni kweli mzee aliandika wosia huo basi ni vyema wosia ukafuatwa, mana kutokufuata wosia wake ni kutomtendea haki marehemu. Hizo hoja za kisiasa kwamba akizikwa Mkuranga kijana wake atakuwa na wakati mgumu kisiasa pale Zenji kwamba ataonekana sio Mzanzibari hayana mashiko. Anaifanyia mambo makubwa Zanibar na wanzazibari wanampenda. Kumbuka Husein alishawahi kuwa mbunge wa Mkuranga kwa vipindi viwili ama kimoja, kama sijakosea, kabla ya kuamua kwenda kugombea ubunge Zanzibar na hatimaye urais. WOSIA WA MZEE UFUATWE.
umbea tu yanakuhusu nini
 
Inasemekana, narudia tena "Inasemekena" mana sina uhakika, kwamba mzee aliandika wosia kwamba akifa akazikwe Mkuranga pembeni mwa kaburi la baba yake. Na ni kweli hata historia yake inaonesha alizaliwa Mkuranga. Sasa kama ni kweli mzee aliandika wosia huo basi ni vyema wosia ukafuatwa, mana kutokufuata wosia wake ni kutomtendea haki marehemu. Hizo hoja za kisiasa kwamba akizikwa Mkuranga kijana wake atakuwa na wakati mgumu kisiasa pale Zenji kwamba ataonekana sio Mzanzibari hayana mashiko. Anaifanyia mambo makubwa Zanibar na wanzazibari wanampenda. Kumbuka Husein alishawahi kuwa mbunge wa Mkuranga kwa vipindi viwili ama kimoja, kama sijakosea, kabla ya kuamua kwenda kugombea ubunge Zanzibar na hatimaye urais. WOSIA WA MZEE UFUATWE.
Hao Kigogo media walete ushahidi wa wosia
 
Inasemekana,,,,Narudia tena "Inasemekena"mana sina uhakika,,kwamba mzee aliandika wosia kwamba akifa akazikwe,Mkuranga pembeni mwa kaburi la baba yake.Na ni kweli hata historia yake inaonesha alizaliwa Mkuranga.Sasa kama ni kweli mzee aliandika wosia huo basi ni vyema wosia ukafuatwa,mana kutokufuata wosia wake nikutomtendea haki marehemu.Hizo hoja za kisiasa kwamba akizikwa mkuranga kijana wake atakuwa na wakati mgumu kisiasa pale Zenji kwamba ataonekana sio Mzanzibari hayana mashiko,Anaifanyia mambo makubwa Zanibar na wanzazibari wanampenda,,,Kumbuka Husein alishawahi kuwa mbunge wa mkuranga kwa vipindi viwili ama kimoja kama sijakosea kabla ya kuamua kwenda kugombea ubunge Zanzibar na hatiae urais.
WOSIA WA MZEE UFUATWE
Kazikwe mkuranga wew inatosha
 
Hizi ziara ya pope ilimnyanyua kimataifa Mzee Mwinyi ukizingatia pope ni kiongozi mkubwa duniani .

Tulitinga pale jangwani Kwenye misa kubwa ya pope na magari ya shule enzi hizo nipo sekondari .
 
View attachment 2921084
Papa John Paul II Mwaka 1990 alitembelea Tanzania na kukaribishwa na Rais Ali Hassan Mwinyi​


Kumualika Papa aketiye Kitini pake Mtume Petro ni jambo moja lakini Mwaliko wako kukubaliwa ni jambo jingine kabisa

Mzee Mwinyi alifanikiwa katika hilo na Papa John Paul II akafanya Ibada katika maeneo ya kimkakati kuwawezesha Watanzania wote kushiriki

Mungu wa Mbinguni mrehemu Mzee Mwinyi

Mungu wa Mbinguni mbariki Dkt. Slaa

Jumaa Mubarak 😀

Pia soma > Tujikumbushe ujio wa Papa John Paul II nchini Tanzania mwaka 1990
Tena ziara ya siku tano nchini, haikuwa jambo dogo. Kuna baadhi ya nchi alipita kwa siku moja au mbili; hapa Tanzania alitembelea majimbo makuu yote matano (wakati huo) ya Kanisa katoliki.
 
Mh. Rais Ali H. Mwinyi akimkaribisha Papa Yohane Paulo II (Pope John Paul II) alisema ni heshima kubwa na taadhima kwa kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Dunia kuitembelea Tanzania.

Mbali na mheshimiwa rais Ali Hassan Mwinyi pia alikuwapo Rais wa Zanzibar Mh. Idris Abdul Wakil Kwanini Idris Abdul Wakil alikuwa Rais wa muhula mmoja? Cardinal Laurean Rugambwa wa Tanzania kadinali wa kwanza muafrika Afrika Laurean Cardinal Rugambwa [Catholic-Hierarchy] , spika wa Bunge chifu Adam Sapi Mkwawa, Benjamin W. Mkapa akiongozana na Anna Mkapa, Brigedia Moses Nnauye, Getrude Mongella na maaskofu mbalimbali na wananchi wa Tanzania uwanja wa ndege wa Dar es Salaam.

Papa Yohane Paulo II (Pope John Paul II) aliandika historia kuwa kiongozi wa kanisa la Katoliki asiye mtaliano baada ya miaka 400 kupita hapo 1978. Papa Yohane Paulo mzaliwa wa Poland alihudumu mpaka mwaka 2005.

Alizaliwa na kubatizwa jina la Karol Józef Wojtyla hapo mwezi Mei tarehe 18, 1920, katika kijiji cha Wadowice, Poland

Alijiunga na chuo kikuu Jagiellonian University kilichopo Krakow mwaka 1938 alipoonesha kupendelea digrii ya sanaa ya maonesho na ushairi.

Akiwa jijini Dar es Salaam alihudhuria misa katika kanisa la St. Joseph cathedral na kutoa salamu.

Source: Jugo Media
 
Back
Top Bottom