mkush
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 214
- 161
Salaam wana jamvi wote!! Ninaomba mwenye data za uhakika juu ya nini hasa kilisababisha mwana wa afrika kwame nkurumah kupinduliwa hapo 1966,maana kuna uvumi kuwa alipinduliwa mara baada tu ya kuruhusu jengo la freemason lililokuwepo mjini accra kuvunjwa huku mwenzie nyerere akiliacha liendelee kuwepo mjini dar es salaam.je nadharia hiyo ina ukweli wowote na imani hizo??(kumbuka ushawishi wake ulikuwa juu sana afrika ukiachilia mbali intellectual arrogant aliyokuwa nao)
naomba wana jamvi mtililike juu ya hili
naomba wana jamvi mtililike juu ya hili