Binadamu wa Kwanza aliishi Tanzania

Fatilia bonde la ufa kule linapoanzia na kuishia,pia gharika ya Nuhu utagundua kuwa huyu mwanadam hakuishi TZ bali miili ya hao wanadamwa mwanzo ndo ilielea juu ya maji wakati wa gharika ya Nuhu hadi maeneo ya Tz.
Ukifukunyua historia ya bonde la ufa hata Kenya,Eritrea na Misri haya mafuvu yalipatikan mengi ndani ya hili bonde
 
Back
Top Bottom