Jukwaa la Historia

On JF:

Batholomeo Mpemba ni mmoja ya wanasayansi wanaotambilika Dunia Kwanian kwa theory yake ya MPEMBA EFFECT katika utawala wa mwalim Nyerere. Taja Watanzania wengine kama wapo.
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimepokea ujumbe huo hapo chini: "Jana nilihudhuria Seminar juu ya Biography ya Mwalimu Nyerere pale Council Chamber Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam. Jina lako limetajwa miongoni mwa...
1 Reactions
0 Replies
789 Views
Habari ndugu wanajukwaa wezangu. Poleni na hongereni kwa kazi Samahan Sana wanaJf nimekua inspired Sana na hivi vyombo vya habari na kutaka Kujua historia zake Asanten sana naomba kupewa japo...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Ilibidi miguu ya kiti itengenezwe mifupi kwasababu Malkia Victoria alikua mwanamke mfupi kwa umbo, wasingeweza kuweka miguu ya kiti mirefu na kumuacha Malkia akining’inia. Baada ya Victoria...
14 Reactions
42 Replies
6K Views
MWAMI THERESA NTARE CHIFU MWANAMKE ANAELEZA ALIVYOIINGIZA TANU BUHA ''Serikali ya kikoloni haikutaka sisi machifu tuwe katika siasa hasa kuisaidia TANU. Hata hivyo tukiwa wananchi na viongozi wa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu Wadau wa Jamii forums? Hasa katika jukwaa hili la Historia ninawaomba sana mnisaidie kupata Historia ya umishenari Songea na vile vile Historia ya Vita vya Majimaji. Nitafurahi sana...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
Shuleni tumefundishwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru ni Ghana, mwaka 1957. Lakini Egypt ilipata Uhuru wake mwaka1952. Ikiondoa waingereza na mfalme. Sasa imekaaje tukasema Ghana ndiyo ya...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Hi Guys! Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita. Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s John Iliffe anasema historia ya TANU nyingi ipo kwa watu. Hili mimi nimelishudia mara nyingi. Aliyonieleza Sheikh Shaban...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Picha hii kwangu inanikumbusha miaka yangu ya mwanzo udogoni naanza kujitambua na kuingia kwenye duka la vitabu kununua vitabu. Nimenunua vitabu vingi duka hili kuanzia mwaka wa 1963 nikiwa na...
9 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu leo tuangalie story za Waafrika. Kuna baadhi ya pan africanist (wakombozi wa Afrika) wanasema africa ilikua na nguvu kubwa sana katika mambo mengi, hasa katika kivita na kiimani, zamani hata...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Danieli 11:20 Ndipo badala yake atasimama mmoja, atakayepitisha mwenye kutoza ushuru kati ya utukufu wa ufalme wake; lakini katika muda wa siku chache ataangamizwa, si kwa hasira, wala si katika...
5 Reactions
10 Replies
4K Views
SAFARI YA UHURU WA TANGANYIKA Video hii imenivutia kwa kule kuieleza historia ya TANU na kutoka vyanzo vilivyoko nje ya historia rasmi na kutumia picha alizoacha Ali Msham na nyingine kutoka...
1 Reactions
0 Replies
795 Views
Katika historia za wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika lakini wamesahaulika historia ya Ali Msham ina sehemu ya pekee moyoni kwangu. Tafadhali isikilize historia yake:
2 Reactions
15 Replies
2K Views
KALAMU YA ALHAJ ABDALLAH TAMBAZA ''Lakini Abdallah Laatasi, ambaye ni mjukuu wa Diwani Omar Laatasi, anakumbukwa zaidi katika mchango wake katika kufanikisha kupatikana uhuru wa nchi hii; kwani...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
HAPO ZAMANI ZA KALE: HISTORIA YA MWALIMU THOMAS SAUDTZ PLANTAN NA CLEMENT MOHAMED MTAMILA Ulikuwa ukiingia nyumbani kwa Mwalimu Thomas Plantan Mtaa wa Masasi kitu kimoja ambacho kitakushangaza ni...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndege ya kwanza kupaa angani na marubani wa kwanza kurusha chombo hicho. Hiyo ilikuwa 1903 pitty hawk Marekani. Beberu katika ubora wake
2 Reactions
0 Replies
753 Views
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953 Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953. Abdul Sykes Act. President na Secretary wa...
5 Reactions
62 Replies
6K Views
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom