Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,909
- 30,253
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953
Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953.
Abdul Sykes Act. President na Secretary wa TAA akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) walikwenda Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu.
Abdul Sykes alikuwa anataka kupata kauli ya mwiisho ya Hamza Mwapachu kuhusu Julius Nyerere kuingizwa katika uongozi wa juu wa TAA kwenye uchaguzi wa viongozi wa TAA uliokuwa ufanyike mwezi April.
Uchaguzi ulifanyika kama walivyokubaliana watu hawa watatu na TAA ikawa chini ya uongozi wa Julius Kambarage Nyerere kama ilivyo hapo chini:
J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer.
Committee members: Dr. Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo, Patrick Aoko.
(Tanganyika Standard 19 June 1953)
Angalia na sikiliza historia hii hapo chini:
Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953.
Abdul Sykes Act. President na Secretary wa TAA akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) walikwenda Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu.
Abdul Sykes alikuwa anataka kupata kauli ya mwiisho ya Hamza Mwapachu kuhusu Julius Nyerere kuingizwa katika uongozi wa juu wa TAA kwenye uchaguzi wa viongozi wa TAA uliokuwa ufanyike mwezi April.
Uchaguzi ulifanyika kama walivyokubaliana watu hawa watatu na TAA ikawa chini ya uongozi wa Julius Kambarage Nyerere kama ilivyo hapo chini:
J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer.
Committee members: Dr. Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo, Patrick Aoko.
(Tanganyika Standard 19 June 1953)
Angalia na sikiliza historia hii hapo chini: