Jukwaa la Historia

On JF:

RUAHA MTO ULIOLIPIZA KISASI CHA KIFO CHA MTWA MKWAWA 1898 Katika askari mamluki walitoka Mozambique kuja German Ostafrika kuja kupigana katika jeshi la Wajerumani dhidi ya Mtwa Mkwawa na Abushiri...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Na:Abdull Najad Faiq Tunapoizungumzia nchi ya England kijografia ni taifa la kisiwa lililozungukwa na bahari pamoja na mito mingi ama sehem kubwa ila mbali na aina hii yake ya geographia haikua...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
MTAA WA MAFIA NA NYAMWEZI ZAMANI Hii picha ya kwanza ni Mtaa wa Mafia na Nyamwezi na mbele ni Barabara ya Msimbazi. Nyuma ni Mtaa wa Nyamwezi. Nyumba ya Mzee Mussa Pazi iko mkono wa kulia...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale wahenga na wajuvi wa hizi mambo huyu mwamba aliyeitawala Zaire kwa mkono wa chuma alipitishia bandari gani zana zake za kijeshi? Nakumbuka huyu mwamba zilikuwa haziivi kabisa na mzee...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
OFISI YA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA 1930s/SASA OFISI YA BAKWATA SHEIKH WA WILAYA NDANI YA OFISI YA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA Picha hiyo ya kwanza ingawa imepigwa miaka ya 1930s...
2 Reactions
0 Replies
575 Views
JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA (UMOJA WA WAISLAM WA TANGANYIKA) Historia ya Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) ni historia ya pekee sana. Jana...
2 Reactions
0 Replies
605 Views
Kitabu cha Khamis Abdulla Ameir kimezinduliwa leo asubuhi. Hapo chini ni sehemu ya kwanza ya pitio la kitabu hicho: PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
PITIO LA KITABU CHA KHAMIS ABDULLA AMEIR: ‘’MAISHA YANGU MIAKA MINANE NDANI YA BARAZA LA MAPINDUZI KHAINI AU MHANGA WA MAPINDUZI?’’ SEHEMU YA TATU NA YA MWISHO Kila msomaji atachokisoma katika...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwaka huu wa 2022 unatuingiza mwaka wa 61 toka Tanganyika tupate Uhuru. Kwanza na "declare interest", binafsi nimezaliwa Tanganyika, kwa maana nimezaliwa kabla ya Uhuru na kabla ya muungano...
12 Reactions
71 Replies
5K Views
Filamu, ''JFK'' iliyotengenezwa na kuogozwa na Oliver Stone ilinikuta niko mji mmoja mdogo Uingereza. Mwaka ni 1991. Huyu Oliver Stone ni Mmarekani na sifa yake yeye ni kule kutengeneza senema...
1 Reactions
5 Replies
966 Views
'Baba' yake na Obama ni kwamba alikuwa ni mmoja wa watu kadhaa waliotumiwa na CIA kwa ajili ya kusimamia mpango ambao utazuia siasa za ukomunisti kutoka China na Muungano wa Sovieti usiingie Kenya...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwaka 1951 mgogoro wa ardhi ya Wameru ulipoanza tawi la TAA mjini Tabora lilikabili changamoto hiyo kupitia juhudi binafsi za Saadan Abdu Kandoro. Kandoro aliitisha mkutano wa matawi ya TAA ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
SAKATA LA BARAKA SHAMTE: HATARI YA KUSEMA YASIYOTAKIWA KUSEMWA Katika kila jamii kunakuwa na ''mwiko,'' yaani kitu kisichotakiwa kufanywa na kwa kawaida huwa watoto wanafunzwa toka udogoni...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
INGEKUWAJE KAMA MANDELA ASINGEANDIKA TAWASIFU YAKE "LONG WALK TO FREEDOM? Mimi ni mpenzi mkubwa wa vitabu vya tawasifu na wasifu hasa za watu maarufu awe mwanasiasa kama Nelson Mandeala au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa jf, nimeambatanisha picha husika Rahel ni Binti wa Laban Betuel Ni Mke wa Yakobo aliyeitwa baadaye Israel Ni Mama was Yusuph na Benjamin Ni eneo maalumu la kumbukizi kwa Wayahudi Hadi sasa.
2 Reactions
6 Replies
3K Views
"THE SAND PEBBLES": MCHINA KULI DHALILI ALIDHANI MMAREKA NI MBABE NI SIMBA KUMBE PANYA ''The Sand Pebbles,'' ni senema kati ya senema ninazozipenda hadi leo kwani ndani yake alikuwa Steve McQueen...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UHURU WA KUZUNGUMZA WA WENZETU Filamu, ''JFK'' iliyotengenezwa na kuogozwa na Oliver Stone ilinikuta niko mji mmoja mdogo Uingereza. Mwaka ni 1991. Huyu Oliver Stone ni Mmarekani na sifa yake...
2 Reactions
0 Replies
652 Views
Miaka ya nyuma inasemekana lakini Kama NI kweli bwana mmoja alienda msumbiji kutafuta utajiri Sasa akaambiwa na mganga aende porini na mpwa wake wakapake madawa fulani na mambo mengine ila...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
BARAKA SHAMTE... Lugha ya Kiingereza inakuwa kila siku kwa kuja na maneno ambayo mimi sikupata kuyajua hapa zamani. Siku hizi kuna neno ''trend.'' ambalo nadhani lina maana, ''lililopo sasa.''...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom