Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."
...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."
Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha taarifa kama hizi na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?
Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford zilizomo katika majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":
"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."
...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."
Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha taarifa kama hizi na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?
Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford zilizomo katika majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.