Nini Kiliwapata Dinosaurs

plan z

JF-Expert Member
Jun 10, 2019
1,381
1,414
Hi Guys!

Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita.

Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na jinsi walivyoishi na kuitawala dunia. Hata Dragons hawakuweza kufua dafu kwao. Dunia ilikuwa kama mbingu kwao. Pia katika posti iliyopita kuwahusu hawa viumbe nilichanganya sayansi kidogo na maandiko ya Biblia kidogo yanazungumziaje.

Katika hii post ya leo sitagusia tena maandiko kwani niligusia awali. Leo nitagusia mabaki ya vitu vilivyokutwa duniani ndipo tukapata picha ya viumbe hao kuwa waliwahi kuwepo katika uso wa dunia.

Binadamu katika uso wa dunia hatuna miaka mingi, hatujafikisha miaka 7000. Ila ni ukweli usiopingika dunia ina miaka mingi zaidi ila tusilolijua mpaka leo ni kwamba kabla ya sisi nini kilikuwepo duniani.

Mabaki namba moja ambayo tumeyakuta duniani ni mifipa ya Dinosaurs na picha za Dinosaurs ziliwa zimejichora automatically kwenye miamba. Kwa mujibu wa Carbon 14, kifaa kinachokadiria umri wa mifupa kifaa hicho kilisoma ni miaka million 68 iliyopita, mifupa mingine ilisomeka iliexist miaka million 99 iliyopita. Hiyo ni kwa mujibu wa hicho kifaa.

Kitu kingine tulichokikuta ni a 15km Chicxulub asteroid. Hiki ni kimondo nacho kilisomeka kilitua miaka million 66 iliyopita.

Kwa mujibu wa wanasayansi. Mifupa 1500 ya Dinosaurs ilipatikana duniani. Hivyo inadhaniwa kimondo hicho walichokipa jina la Chicxulub kilipotua joto la dunia lilipanda mpaka 150°C na kila kuimbe kilichokuwa 800km karibu kiliangamia. Na waliosaliwa walikufa kwa njaa kwa sababu ya joto kupanda hakuna mimea iliyostawi.

Waliosalia walikula wenzao na mwishowe wakamalizika wote. Dunia ikabaki kama sayari zingine. Hadi pale Mungu alipoamua kuifanya upya tena na sisi tukaletwa duniani.

View attachment:



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana hao wanyama walikua na brain ndogo na hisia zao zilikua mbali, walikua wanawezakua wanaungua na wasihisi chochote wakijakushtuka moto upo mgongoni na too late wakawa wanakufa sana.
 
Hizi habari ni kama za bustani ya edeni Adam na Hawa na tunda la mti wa katikati, Yesu, Nuhu, Mussa na wana wa Islaeri kusafiri kwa miaka 40 kutoka hapo Misri tu kwenda kwao, Sodoma na Gomora.
 
Kusema kuwa binadamu hatuna hata miaka 7000 juu ya dunia sio kweli, kwani kuna ushahidi wa wazi wazi kuwa binadamu tupo zaidi ya muda huo.

1. Modern human (binadamu wa kileo kama wewe) alianza kutunza kumbukumbu miaka zaidi ya elfu kumi iliyopita, kuna michoro mapangoni na kwenye mawe sehemu mbali mbali duniani zenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10
2. Kule Misri (Egpty), kuna makaburi na mabaki ya vitu mbali mbali alivyowahi kutumia binadamu vyenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10

3. Ushahidi unaonyesha kuwa binadamu (modern human), sio apes au homos. Alianza kufuga na kulima zaidi ya miaka 13,000 iliyopita kule Palestina, Iran, na China.

Hata ya mafuvu yaliyokutwa kule oldivai au kule Chad yana miaka zaidi ya laki 7
 
Uongo ni Mkubwa hapa:

-Miaka elfu 7 ni michache sana, Binadamu aliexist miaka mingi sana zaidi ya hiyo.

- Dragons hawajawahi kuwepo, hakuna mnyama aliyeumbwa kwa nyama + mifupa + damu aweze kutema moto.

SWALI: Anagenerate vipi moto ndani ya mwili? Si angeunguza hata moyo wake mwenyewe na utumbo kwakuwa ni vilaini?

-Katika historia na uchunguzi wa dunia nzima hakuna Kimondo kikubwa namna hiyo kilichowahi kuanguka na kusababisha moto kiasi hicho.

SWALI : Iunguze vitu vyote mpaka vilivyopo umbali wa 800KM ? Umbali wa zaidi ya Arusha - DSM halafu isiwepo katika kumbukumbu za dunia?

Kimondo maarufu duniani ni ile iliyoanguka zamani Arizona na Malampaka-Mbeya (1930)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema kuwa binadamu hatuna hata miaka 7000 juu ya dunia sio kweli, kwani kuna ushahidi wa wazi wazi kuwa binadamu tupo zaidi ya muda huo
1. Modern human (binadamu wa kileo kama wewe) alianza kutunza kumbukumbu miaka zaidi ya elfu kumi iliyopita, kuna michoro mapangoni na kwenye mawe sehemu mbali mbali duniani zenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10
2. Kule Misri (Egpty), kuna makaburi na mabaki ya vitu mbali mbali alivyowahi kutumia binadamu vyenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10
3.Ushahidi unaonyesha kuwa binadamu (modern human), sio apes au homos...., alianza kufuga na kulima zaidi ya miaka 13,000 iliyopita kule Palestina, Iran, na china

Hata ya mafuvu yaliyokutwa kule oldivai au kule Chad yana miaka zaidi ya laki 7.....
We mjamaa ndio umeamua kumchojoa zote kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo ni Mkubwa hapa:

-Miaka elfu 7 ni michache sana, Binadamu aliexist miaka mingi sana zaidi ya hiyo.

- Dragons hawajawahi kuwepo, hakuna mnyama aliyeumbwa kwa nyama + mifupa + damu aweze kutema moto.

SWALI: Anagenerate vipi moto ndani ya mwili? Si angeunguza hata moyo wake mwenyewe na utumbo kwakuwa ni vilaini?

-Katika historia na uchunguzi wa dunia nzima hakuna Kimondo kikubwa namna hiyo kilichowahi kuanguka na kusababisha moto kiasi hicho.

SWALI : Iunguze vitu vyote mpaka vilivyopo umbali wa 800KM ? Umbali wa zaidi ya Arusha - DSM halafu isiwepo katika kumbukumbu za dunia?

Kimondo maarufu duniani ni ile iliyoanguka zamani Arizona na Malampaka-Mbeya (1930)




Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakua mnywaji wa kahawa huyu, na stori zao za UKI BIN UNUKI za kuvua samaki katikati ya bahari na kunyisha mkoni juu kumkausha kwa joto la jua kisha kumla haa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi habari ni kama za bustani ya edeni Adam na Hawa na tunda la mti wa katikati, Yesu, Nuhu, Mussa na wana wa Islaeri kusafiri kwa miaka 40 kutoka hapo Misri tu kwenda kwao, Sodoma na Gomora.
unajua sodoma na gomora hazipo Africa ? zipo bara jingine, hivo ni sahihi kama yesu alitumia siku 40 maana ni mbali mno, bahati mbaya sina mb ningeleta video uone sehemu inayoaminika kuwa sodoma na gomora ipo wapi
 
Kusema kuwa binadamu hatuna hata miaka 7000 juu ya dunia sio kweli, kwani kuna ushahidi wa wazi wazi kuwa binadamu tupo zaidi ya muda huo
1. Modern human (binadamu wa kileo kama wewe) alianza kutunza kumbukumbu miaka zaidi ya elfu kumi iliyopita, kuna michoro mapangoni na kwenye mawe sehemu mbali mbali duniani zenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10
2. Kule Misri (Egpty), kuna makaburi na mabaki ya vitu mbali mbali alivyowahi kutumia binadamu vyenye umri wa zaidi ya miaka elfu 10
3.Ushahidi unaonyesha kuwa binadamu (modern human), sio apes au homos...., alianza kufuga na kulima zaidi ya miaka 13,000 iliyopita kule Palestina, Iran, na china

Hata ya mafuvu yaliyokutwa kule oldivai au kule Chad yana miaka zaidi ya laki 7.....
Hiyo miaka iliyopimwa ni kwa mujibu wa hicho kifaa cha Carbon 14, hatuwezi kukiamini kwa asilimia 100% ila in reality ukicalculate muda wa mwanadamu kwanzia pale Edeni tumezidi miaka 6000 na hatujafika 7000 idadi kamili inachanganya kidogo kutokana na kubadilishwa kwa calender mara kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye post yangu ya mwanzo nilichanganya maandiko ya Biblia. Maandiko yanadai kabla ya mwanadamu kuumbwa Mungu aliiharibu dunia. Ikapita miaka mingi isiyojulikana ndipo Mungu akafanya upya uso wa nchi na sisi ndipo tukaumbwa. Kwahyo ina maana hicho kimondo kilikuwa fixed. Hapo pia kuna siri ya Mungu mwenyewe. Ila sayansi nayo sio ya kuaminika asilimia 100% labda ni kweli kimondo hicho hakikutua. Ila mifupa ya Dinosaurs imepatikana
Uongo ni Mkubwa hapa:

-Miaka elfu 7 ni michache sana, Binadamu aliexist miaka mingi sana zaidi ya hiyo.

- Dragons hawajawahi kuwepo, hakuna mnyama aliyeumbwa kwa nyama + mifupa + damu aweze kutema moto.

SWALI: Anagenerate vipi moto ndani ya mwili? Si angeunguza hata moyo wake mwenyewe na utumbo kwakuwa ni vilaini?

-Katika historia na uchunguzi wa dunia nzima hakuna Kimondo kikubwa namna hiyo kilichowahi kuanguka na kusababisha moto kiasi hicho.

SWALI : Iunguze vitu vyote mpaka vilivyopo umbali wa 800KM ? Umbali wa zaidi ya Arusha - DSM halafu isiwepo katika kumbukumbu za dunia?

Kimondo maarufu duniani ni ile iliyoanguka zamani Arizona na Malampaka-Mbeya (1930)




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo ni Mkubwa hapa:

-Miaka elfu 7 ni michache sana, Binadamu aliexist miaka mingi sana zaidi ya hiyo.

- Dragons hawajawahi kuwepo, hakuna mnyama aliyeumbwa kwa nyama + mifupa + damu aweze kutema moto.

SWALI: Anagenerate vipi moto ndani ya mwili? Si angeunguza hata moyo wake mwenyewe na utumbo kwakuwa ni vilaini?

-Katika historia na uchunguzi wa dunia nzima hakuna Kimondo kikubwa namna hiyo kilichowahi kuanguka na kusababisha moto kiasi hicho.

SWALI : Iunguze vitu vyote mpaka vilivyopo umbali wa 800KM ? Umbali wa zaidi ya Arusha - DSM halafu isiwepo katika kumbukumbu za dunia?

Kimondo maarufu duniani ni ile iliyoanguka zamani Arizona na Malampaka-Mbeya (1930)




Sent using Jamii Forums mobile app

Na Mimi siafiki mengi
Kuna makala hivi karibuni wameandika kuhusu ugunduzi Africa imenistaajabisha sana
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
unajua sodoma na gomora hazipo Africa ? zipo bara jingine, hivo ni sahihi kama yesu alitumia siku 40 maana ni mbali mno, bahati mbaya sina mb ningeleta video uone sehemu inayoaminika kuwa sodoma na gomora ipo wapi
Mkuu siyo Yesu ila mi waislaeri ndio walitumia miaka 40 kutoka Misri hadi kwao Isilaeri
 
Mkuu siyo Yesu ila mi waislaeri ndio walitumia miaka 40 kutoka Misri hadi kwao Isilaeri
Hiyo record ni questionable kwani kutemebea kutoka Cairo had Jerusalem ni mwendo wa mwezi mmoja tu. Ila kwa vile wao walikuwa wakitanganga labda walichukua miezi sita au hata mwaka mzima. Wasingeweza kutembea kila siku kwa miaka arobaini, wangezeeka na kuishiwa nguvu kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom