Kwa wale wote mliojaza chuo cha arusha technical college selection zmeshatoka na majina yapo nje
Hata kama profile yako imeandka wait for selection jarb kuangalia Website ya atc
Www. Atc. ac. Tz
Nasikia tayari bwana jpm amelipa tsh 200000 kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu ni 250000
Za waratibu zimewekwa katika acc za shule inayobeba jina la jata yake na zimewekwa kwenye acc ya...
Habari wana JF
Hivi nilitaka kusaidiwa kitu kumoja.
Kuna siku kuna kaka yangu mmoja anasoma civil engineering pale MUST mbeya.
Alikuwa anataka kuapply mikopo kwa bodi ya mikopo na mwingine dada...
Hizi ni tetesi, kama tetesi zinaweza kuaminika basi ziaminike.
Kwanza, TCU hawaja release mwongozo wa Equivalents kwa kuwa GPA ya 3.5 inagomba. Hii ni kwa sababu regulation ya GPA haipo standard...
Wadau kuna tetesi nimesikia toka kwa mtu wa karibu pale uhaziri tabora kuwa course ya procurement imefutwa..je kunaukweli wowote ktk hili..tafadhar kwa anayejua.
Mnamo mwezi wa tano NACTE walifungua dirisha la Udahili ambapo wanafunzi kadhaa walilipia fedha ya usajili 50000/=. Guidebook waliyoitoa NACTE iliweka GPA 2.7 kama kiwango cha mwisho cha ufaulu...
Wakuu. Hivi punde nimepata habari kua matokeo ya kidato cha sita 2016 yatatangazwa kesho ijumaa, tarehe 08/07/2016. Kwa mujibu wa waziri wa elimu Pro. Joyce Ndalichako, wanafunzi waliosoma masomo...
Mbona kimya jaman..pressure wadau nacte tutoleen majina kama hakuna majina toen updates tujue kinachoendelea..jaman wana jf yeyote mwenye tetes atujuze
Habari wanajf.
Kuna taarifa zinazoenea kwa kazi miongoni mwa wanafunzi wanaosoma kozi ya stashahada ya juu ya Elimu (postgraduate diploma in education) kuwa ajira zao hazitakuwepo kuanzia sasa...
Taarifa: HII.INA UKWELI WOWOTE WAKUU!!!?
MAOMBI YA MKOPO YATAANZA BAADA YA MATOKEO YA 4M6 KUTOKA. NA WENYE DIV.1 &2 ndio watakao ruhusiwa kuomba mkopo tu, wenye div.3 wataenda diploma. Na...
kunadogo hapa mtaani kapata 3point25 phy-d chem-c bio-c mathe-d na mengine dna cmoja somo la art saxa anauliza anaweza kuchaguliwa combi gan shule za serikal
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016.
Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya...
Uozo na siasa zinazoendelea..
Ndugu wana jamii forum kwanza nasikitika Sana kwa serikali yetu kuendelea kufumbia macho chuo kikuu cha Kampala international university maana ni chuo ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.