Juzi kuna mdau alileta mada yenye kichwa cha habari kinachosomeka hivi Msitulaumu watu wa Lindi, Mtwara, Zanzibar, Tanga na Pwani kwamba tunafeli! Sababu ni hizi
Kwa sasa Inasemekana kuwa Afisa...
Watu wengine wanasema kuunga jamani kutoka certificate ya nursing kwenda diploma je inakubarikaa??
2. Kuchange course kutoka certificate burning kwenda Clinical assistance/Officer inakubalika...
UHAMISHO TAMISEMI
hivi karibuni tamisemi wametangaza utaratibu mpya wa kufuata ili kupata uhamisho kwa wale wote walio omba
Kuwa mwombaji anapaswa kwenda moja kwa moja kwenye ofisi za tamisemi...
Watanzania wanajua nini kilitokea baada ya ripoti ya uhakiki wa vyeti vya taaluma yani kidato cha nne na sita kutolewa ikiwa ni baada ya kusitisha ajira mpya, nyongeza ya mishahara, kupandishwa...
Jamani nimesikia habari kwa baadhi ya walimu wa Lushoto mara hii mkurugenzi wa wilaya hiyo amezuia likizo na walimu wanaendelea kufundisha kama kawaida mpaka Tar 23/6/2017 ndio wafunge na...
Hapo zamani za kale Abunuwasi alimuendea mfalme akamwambia anaweza kumshonea suti ya thamani sana ambayo wenye dhambi watakuwa hawaioni na wasio na dhambi tu ndio watakuwa wanaiona. Mfalme akampa...
Habari Wakuu na wenyeji wa humu, Napenda kutanguliza salamu zangu kwenu awali ya yote.
pili naomba kufahamishwa kwa anaetambua kuhusu hawa Jamaa NACTE je wamekwisha kufanya selection? ama bado...
Habari za muda huu members jf-elimu!nikiri kuwa ni Mara yangu ya kwanza kupost humu jf-elimu.Ninaomba ushauri,mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE kama private candidate na amepata div.four ya...
Mimi Mwalimu wa Kigoma manispaa natafuta mwalimu wa kubadilishana naye nafundisha GEOGRAPHY na HISTORY awe anatoka maeneo yafuatayo:-
-IRINGA MANISPAA
-KYELA
-MASASI
-MOROGORO MJINI
Tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.