KASHEBO
Member
- Dec 4, 2012
- 31
- 4
Nasikia tayari bwana jpm amelipa tsh 200000 kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu ni 250000
Za waratibu zimewekwa katika acc za shule inayobeba jina la jata yake na zimewekwa kwenye acc ya shule maana ni za mwalimu mkuu na si mtu fulani ila cheo. Hongereni wenye vyeo
Za waratibu zimewekwa katika acc za shule inayobeba jina la jata yake na zimewekwa kwenye acc ya shule maana ni za mwalimu mkuu na si mtu fulani ila cheo. Hongereni wenye vyeo