Nataka kuomba kufanya masters kwa vyuo huko Ulaya, baadhi ya masharti ni kufanya GMAT, je ni wapi ninaweza kupata tuition au wengine wanaotarajia kufanya GMAT? Nipo Dar na experience yenu ikoje? Maana nimeuliza gharama naambiwa nilipe $ 250 kama nitaregister online au $ 300 kwa kupitia wakala wao hapa bongo. Sasa ulipe hizo hela, usipoondoa inakuwaje?
Je hii GMAT ni muhimu kiasi hicho? Au ni mambo fulani ya kuunganishiana biashara!!!!!?
Wadau nisaidieni.
Je hii GMAT ni muhimu kiasi hicho? Au ni mambo fulani ya kuunganishiana biashara!!!!!?
Wadau nisaidieni.