Majina mengine yana laana so shule nazo zinabeba laana. Hujasikia au kuona majambo yanayo wakuta watoto wanaitwa majina ya utata utata? Matatizo, Majonzi, Sikitiko, Majuto na mengine yanayofanana na hayo. Kuna mapepo ambayo yanaambatana na majina, kama mtu alikua na lipepo la wizi hata jina lake linasimamiwa na pepo la wizi, sasa tatizo mtoto wako akisoma katika hiyo shule anakua anavutwa na hilo pepo na kama familia na yeye mwenyewe ajasimama na Mungu basi tena lipepo linamkamata.