tonge nyama
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 380
- 498
Wadau mimi nataka kutumia baadhi ya picha zilizomo humu zinazohusiana na research yangu kwaajili ya kuandika report for academic purposes. Sasa nauliza je ninayo idhini ya kufanya hivyo, au zipo copyrighted? Kama sivyo je idhini hiyo nitaipata kwa nani na kwa tumia njia zipi?
Picha zenyewe ni zile zinazohusisha mafuriko yaliyotokea Dar wiki iliyopita.
help please
Picha zenyewe ni zile zinazohusisha mafuriko yaliyotokea Dar wiki iliyopita.
help please