asante but mimi nimetakata chuo kinachotambulika na sio cha kitapeli tatizo sio kozi kuwa mwelewa ila asante and i prefer most degree au adv diplomaKama wewe huwezi kusoma ukafaulu kupata hicho cheti ni swala jingine sio swala la kutaka tu....Je wewe uko tayari kufanya yanayo takiwa..kuna MCSE,MCDBA etc unakuwa recognized kote...So akili kumkichwa...soma post ingine nimejibu kuhusu ni vyuo gani...