Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

When working to reform the educational systems nowadays we often hear the mentioning of the term critical thinking in discussions about educational reform, but it's not always clear what it means...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani kwa wale waliosoma vyuo kama UDSM mnasemaje kuhusu walimu wa kibongo (Dr. & Professors)? Je ni kweli kwamba ni wanoko, au sisi wanafunzi hatuna akili, au basi tuu huwa hawataki mtu amalize...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Yes -- a general explanation Hot water can in fact freeze faster than cold water for a wide range of experimental conditions. This phenomenon is extremely counter- intuitive, and surprising...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NDUGU wana Jf,habari napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari za ndani udom zinasema kuwa kuna wanafunzi wawili waliuawa kwenye maandamano, mmoja wao akiwa ni mja mzito. Lakini hili linafunikwa ili skendo hii isiwe isijulikane. Yuko na mwanafunzi...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Muda huu tayari mabibo kumewaka. na pia wamefunga barabara ya mandela kwa dakika 10. sehemu ya mabibo hostel. kesho barabarani rasmi.
0 Reactions
45 Replies
6K Views
knye gazeti la leo daily newz wametoa scholaship za mastaz na phd china kwa anaehitali jipatie nakala yako
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hapo majuzi vijana wa UDOM waliandamana wakiwa na nia ya kuelekea ofisini kwa mizengo pinda aka mtoto wa mkulima kufikisha kilio chao kwake. wakiwa njiani pale makulu walikutana na FFU ambao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi nawashangaa sana wanaokiponda UDOM ni watu hatari sana katika mabadiliko ya elimu nchini wamesahau kabisa ukiritimba wa UDSM miaka iliyopita ambapo ma lecturer walikuwa wanajiona kama Miungu...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Hiiii ndiooo a aaaaaaaaaaaaaa ina mkia mbeleee aaaaaaaaaaaaa eeeeee Hiiiii ndio eee eeeeeeee eeeeeeee iko kama kikombe eeeeeeeeee iiiiiiiiiiiii hiiiiiiii ndio iiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ina...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo naangalia This week in perspective TBC1. Miongoni mwa washiriki ni Dr Sengondo Mvungi ambaye amejitambulisha na ametambulishwa kuwa anatoka UNIVERSITY OF BAGAMOYO. Inawezekana kikawa ni chuo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Natoa wito kwa uongozi wa serikali ya wanafunzi wa UDOM kutoa tamko la kuomba radhi kwa kitendo cha baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho kumshambulia mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wanachuo kozi ya art wi education wamegoma kwa kukosa mikopo kupitia tcu. Kwa madai kwamba kozi haitambuliki kisheria "kama hamtaki kusoma acheni" hii ni kauli ya prof mmoja mkuu wa chuo hicho...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
OUT kutoa shahada ya uzamili kuhusu ustawi wa jamii Tuesday, 11 January 2011 20:02 newsroom NA...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
je kuna ukweli wowote wa kisayansi kuwa kondoo huwa anapigana na radi?na ukivaa nguo nyekundu utapigwa radi?au ni mapokeo tu?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Dear great thinkers, iam a candate for msc. In construction economics and managemnt in one of the universities, currently iam doing my dissertation on the role of international chamber of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina kijana wangu ambaye nataka akasomee shule ya Secondary huko Uganda yeyote mwenye contact na shule ya secondary nchini Uganda anisaidie pamoja na ushauri wowote ule nitazingatia.:A S 27:
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba mnijulishe sehemu zenye waalimu wazuri Wanafundisha masomo ya uhasibu kwenye level Ya module E na F.Hasa siku za weekends
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna taarifa zimesikika kuwa wanafunzi wa UDOM wamepitisha mchango kwa ajili ya watu waliokumbwa na madhara yalioletwa na polisi waliotumia nguvu kubwa kuzuia maandamano ya CHADEMA kule Arusha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…