Lecturers wa TZ ni wanoko/wavivu au roho mbaya tuu?

chidide

Member
Nov 11, 2010
91
9
Jamani kwa wale waliosoma vyuo kama UDSM mnasemaje kuhusu walimu wa kibongo (Dr. & Professors)? Je ni kweli kwamba ni wanoko, au sisi wanafunzi hatuna akili, au basi tuu huwa hawataki mtu amalize shule yake kwa amani? Maana unakuta mtu anagandishwa hata miaka 3 kazi yake supervisor ameikalia.
 
Jamani kwa wale waliosoma vyuo kama UDSM mnasemaje kuhusu walimu wa kibongo (Dr. & Professors)? Je ni kweli kwamba ni wanoko, au sisi wanafunzi hatuna akili, au basi tuu huwa hawataki mtu amalize shule yake kwa amani? Maana unakuta mtu anagandishwa hata miaka 3 kazi yake supervisor ameikalia.

Ur a simply a lazy chap!
 
Ni vyote vitatu ulivyotaja, tena kama una kingine ongezea hapo hapo tu
 
Me nadhani ni uvivu wa watu tu,hasa ukichukulia walimu wa UDSM wanahitaji mtu ufanye kazi nzuri. Pia ukiangalia takwimu, watu wanaoshindwa kugraduate on time ni less than 5% ya darasa,wengine wana sababu za msingi lakini wengine wanapeleka kazi kwa uspervisor dakika za mwisho akitarajia supervisor aitoe kazi kwa pressure. Lazima umpe supervisor muda wa kutosha kuiangalia kazi yako.
 
bongo niliishia form 4,(sina experience ya vyuo vya bongo,nasikia tu story)then high school na chuo nimekuja kusomea ulaya, the way walimu walivyo friendly,hadi raha,from secondary to chuo.na mwalimu au lecturer kuwa friendly haimaanishi atakupa point za bure, ukichemsha mitihani inakula kwako halafu kama hakujui vile.
nafikiri huo unoko unatokana na ugumu wa maisha ya bongo, ndio maana hasira nyingi.
 
bongo niliishia form 4,(sina experience ya vyuo vya bongo,nasikia tu story)then high school na chuo nimekuja kusomea ulaya, the way walimu walivyo friendly,hadi raha,from secondary to chuo.na mwalimu au lecturer kuwa friendly haimaanishi atakupa point za bure, ukichemsha mitihani inakula kwako halafu kama hakujui vile.
nafikiri huo unoko unatokana na ugumu wa maisha ya bongo, ndio maana hasira nyingi.

Wewe ni graduate kweli? Mbona hata kuandika ni shida tupu hapo.
 
Jamani kwa wale waliosoma vyuo kama UDSM mnasemaje kuhusu walimu wa kibongo (Dr. & Professors)? Je ni kweli kwamba ni wanoko, au sisi wanafunzi hatuna akili, au basi tuu huwa hawataki mtu amalize shule yake kwa amani? Maana unakuta mtu anagandishwa hata miaka 3 kazi yake supervisor ameikalia.

Pole mkuu, i hope hiyo ni postgraduate level.
1. Wako busy mkuu, wengine wana mashamba, mifugo muda wa kusoma hawana
2. Wengine wana allergy na research, wao wenyewe hafanyi kwa hiyo kama unafanya, say Masters kusoma proposal au thesis ni shughuli

Nimepitia kwa hiyo najua machungu yake.
 
Back
Top Bottom