Kama madai ya wahadhiri yatatekelezwa,ndipo mnaweza kusema kua may be next week things will get back to normal.
Otherwise wahadhiri msimamo wao ni dhabiti na mmoja kua mpaka waone pesa zao zimewekwa kwenye akaunti zao ndipo watarudi darasani. Porojo na ahadi za kushughulikia madai yao hazitapewa nafasi tena.
Nafasi ya majadiliano inaweza kuwepo pale uongozi wa sasa wa chuo utakapoachia ngazi;uongozi mpya ndio unaoweza kupewa nafasi ya majadiliano. Ila kwa uongozi wa sasa,no room for majadiliano,wahadhiri wanataka waone pesa zao kwenye akaunti zao.
Over.