Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

SN NAME SEX INDEX NO. ADMISSIONS NO. 1 LUBASHA,Patrick C M S0461-0086 SAUT/MC 2012/IT 001 2 SAYAY, Amos S M S3039-0078 SAUT/MC 2012/IT 002 3 JAPHET,John M S0323-0044 SAUT/MC 2012/IT 003 4...
0 Reactions
3 Replies
16K Views
Kumekuwepo na mijadala mbalimbali katika jf juu ya chuo gani ni bora zaidi ya kingine mi nataka kuuliza katika ajira je kitu kinachoangaliwa ni umesoma chuo gani au umefauluje?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna jirani yangu ana mtoto amechaguliwa kwenda huko. Mwenye A B C za huko please.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
habari zenu wana Jf naomba msaada kwa anayejua tarehe ya kufunguliwa kwa chuo cha mkwawa ambako kuko iringa
0 Reactions
1 Replies
943 Views
TCU wametangaza kuchapa majina ya wasiochaguliwa katika kozi mbalimbali za vyuo nchini, majina hayo yatatangazwa kupitia website yao leo hii,
1 Reactions
66 Replies
30K Views
habari zeu wana Jf naomba msaada kwa anayejua tarehe ya kufunguliwa kwa chuo cha mkwawa ambako kuiko iringa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
hivi Ni kweli au nistory tu za Mitaani... nNimeskia eti Huwa Kunampango Kila Mwaka Mademu wenye VVU husambazwa Vyuoni !!!! Mwenye Facts afunguke!!! ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!
0 Reactions
Replies
Views
Ningependa tufahamiane hapa wale wote wa Tumaini Dar es Salaam.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kufahamu status ya shahada ya sheria ktk chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Campus ya DSM, kuna ndg yangu amepata nafasi hapo,. Je kwa ujumla ni vyuo gani ambavyo vinatoa shahada ya sheria...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Wakat TCU wanaiweka ile admitted or not admitted status, kwangu waliniwekea Not Admitted. Nikaomba mapema second round kwa BaED SAUT Mwanza, IKAKUBALI, halafu ikageuka ikawa Admitted. Utata...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
nimechaguliwa huko sasa tutazipataje hizo joining instruction wakati kwenye webpage zao hakuna cha kudownload:A S cry:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya PROFILE zinaonyesha ADMISSIONS tofauti. Kwa mfano mimi katika program nilizochagua nimewekewa ADMITTED computer science st Joseph Songea code JS001 kwa first selection.Lakini juu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu ipi kati ya hizo iko juu zaidi na ni kwa sababu zipi kwa soko la hapa kwetu Tanzania??? Nawasilisha ..!!
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Ni muda sasa tangu tusikie malalamiko kuhusu shule hii; Leo na mimi acha nifunguke..msomsji WA uzii huu utakubaliana na Mimi kuwa shule hii imepote kwenye ulimwengu wa Elimu ukilinganisha na shule...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa anaefaham kama majina ya walio chaguliwa kujiunga na certf na dipl course ya computer science mana deadline ya kureceiv applcation form ilikuwa 20th,July mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, kuna wanafunzi 10 waliomaliza mwaka wa 5 fani ya medicine (udaktari), wamekuwa discontinued kutokana na tangazo la dean school of Medicine Prof. Karim Manji, source ya kudiscontinue ni...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
hv wazee hii kozi utaajiriwa wapi na inakuaje kuhusu ajira inasumbua au vp?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
QUESTIONNAIRE Dear Participants I am conducting a survey of imported products in the Tanzanian markets for my Masters thesis at Zhejiang University in China. The questionnaire is a part of my...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Sisi wa 2005 tuliitwa TSUNAMI.Wao wataitwa SENSA...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamani naombeni msaada juu ya hili cjui mi ndo ugeni wangu au la?naona thread moja inasema 'waliopata mkopo 2012/2013 bofya hapa' hiyo post ukiifungua inakwambia auko supported,,,JE VIPI NI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom