Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa anaefaham kama majina ya walio chaguliwa kujiunga na certf na dipl course ya computer science mana deadline ya kureceiv applcation form ilikuwa 20th,July mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, kuna wanafunzi 10 waliomaliza mwaka wa 5 fani ya medicine (udaktari), wamekuwa discontinued kutokana na tangazo la dean school of Medicine Prof. Karim Manji, source ya kudiscontinue ni...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
hv wazee hii kozi utaajiriwa wapi na inakuaje kuhusu ajira inasumbua au vp?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
QUESTIONNAIRE Dear Participants I am conducting a survey of imported products in the Tanzanian markets for my Masters thesis at Zhejiang University in China. The questionnaire is a part of my...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Sisi wa 2005 tuliitwa TSUNAMI.Wao wataitwa SENSA...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamani naombeni msaada juu ya hili cjui mi ndo ugeni wangu au la?naona thread moja inasema 'waliopata mkopo 2012/2013 bofya hapa' hiyo post ukiifungua inakwambia auko supported,,,JE VIPI NI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hivi inafaa kubadili kozi kama hukuipenda ile uliyochaguliwa
0 Reactions
2 Replies
881 Views
siku ya leo nataka kuvunja mzizi wa fitina maana humu ndani yametokea mabishano na mada kuhusu 1.baadhi ya watu kusifia vyuo vyao..... 2.baadhi ya watu kuponda baadhi ya vyuo kusema kweli chuo...
2 Reactions
49 Replies
6K Views
Wale ambao hawajaomba mkopo kama mimi mpo mi kwenye akauti yangu nshaekewa mil 2 ya kuanzia sio lazima wote tutegemee mkopo watanzania fanyeni kazi kwa bidii kutegemea mkopo kunalemaza!
0 Reactions
4 Replies
931 Views
Ndugu zangu Watanzania, moja ya kigezo kwa mujibu wa maelekezo ya bodi ya mikopo nikuwa BODI itatoa mikopo kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2010-2012.... Jaman vipi sisi watoto wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wapi kuna elimu bora hasa kwa ngazi ya secondary na vyuo? Hii nimeuliza baada ya kuona wenzetu elifu ya secondary ni miaka 4 wakati sisi ni 6 shahada ya kwanza wenzetu ni miaka 4 mpaka 6 wakati...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
:flypig:Joining instruction ya Tumaini Dar es Salaam niaje jamani? Mwenye kujua juu ya hilo!
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Sikuwemo kwenye list ya tcu ya waliojaziwa kozi ambazo hawakuomba. Sikufuatilia kwasababu nlijua inawahusu waliowekewa vyou ambavyo hawakuomba, kwamaana mi nlichaguliwa SUA ambapo nliomba baadh...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa wana JF Hizo kozi hapo juu zinaisumbua sana akili Yangu.!! Sasa ndugu zangu ningependa kujua kozi ipi? Kati ya hizo hapo juu ni nzuri kuliko nyingine na iko na future nzuri uko mbeleni na...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
University Decision 'Could Harm UK' Britain's reputation as home to one of the world's thriving higher education sectors is under threat after a university was stripped of its right to admit...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
taarifa Kutoka HESLB ha ha ha ha kama Una Div 3 na wewe ni Arts Sahau kitu kinachoitwa Mkopo.....jipange Kuanzia Leo wale wenye div 1 & 2 hakuna atakayepewa zaidi ya 50 % jipangeeeee ha ha ha...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Baada selection ya hiki chuo kutoka wakatoa Maelekezo kwamba join instructions zitapatikana kwenye website yao lakini mpaka sasa hatujaweza pata kuziona. Wana jamvi msaada kwenu kwa mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa Sekta ya Elimu jaribuni kupitia mafanikio na changamoto za elimu hapa nchini. EDUCATION SECTOR PERFORMANCE REPORT 201011 (1.08 MB)
1 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa wale wote mliochaguliwa engineering sua,...mnatakiwa mkifika mzingatie sana kusoma kwani matokeo ya semista ya 2, yametoka watu wamedisco balaaa....madogo mje kusoma .....prof. mpanduji...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale ambao walikua na matatizo ya kuto atach picha ya mdhamini ambao majina yao yali be desplayed kwenye website ya bodi, ambao waliambiwa wazitume kwa njia ya ems na wakafanya hivyo, majina...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom