Msherwa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 1,335
- 1,225
Wakat TCU wanaiweka ile admitted or not admitted status, kwangu waliniwekea Not Admitted. Nikaomba mapema second round kwa BaED SAUT Mwanza, IKAKUBALI, halafu ikageuka ikawa Admitted. Utata ukaanza baada ya jina langu kutoka BeD UDOM. Na TCU wakanambia niconfirm BeD UDOM, nikaconfirm. Sasa tatizo ni kwamba, kwenye 2nd Round App. Status ya profile yangu, kuna SAUT Mwanza, na imeandikwa ADMITTED. Maana yake First round NIMECHAGULIWA UDOM, na 2nd round nimechaguliwa SAUT.
Jaman kwa anayeweza kunisaidia, pliz
Jaman kwa anayeweza kunisaidia, pliz