Wakuu ipi kati ya hizo iko juu zaidi na ni kwa sababu zipi kwa soko la hapa kwetu Tanzania??? Nawasilisha ..!!
Kujiajiri ndio lengo kuu ila sio vibaya ukinishauri katika suala la kuajiriwa kwa hizi kazimkuu hv maswali gani haya mnayouliza!?
unataka kujiajiri au kuajiliwa sema nikusaidie!?
Ila hawa woote wawili wapo kwenye constraction Industry na architecture ni boss wa construction team!
hawa woote soko lao linategemea ujenzi kwa kipindi hicho, all in all chagua moyo wako unakopenda!
Are you capable of thinking in 3D? Do you have an eye for beauty?
mkopo una grade gani
ningekua mimi ningetake architecture...kwa sasa sehemu nyingi sana wanatoa civil(st joseph,mist,aru,coet,dit) na in the future lazima hawa watu watafurika tu...embu jiulize ni nani yuko tiari kupiga 5yrs chuo?? ni vyuo vingap vinatoa arch hapa tz?? probably 2 universities(ardhi na mist)..sasa mpaka hapo utaona ni jins gan arch iko juu...kama mdau mmoja hapo juu alivyosema architects ndo master wa builders wote..hiyo ni kwel kwa maana hakuna nyumba inajengwa bila blueprints toka kwa archtect!!! its up to u nw....ILA SKIZA MOYO WAKO ZAID!!! nawasilisha....Wakuu ipi kati ya hizo iko juu zaidi na ni kwa sababu zipi kwa soko la hapa kwetu Tanzania??? Nawasilisha ..!!
Yap! Maanake suala sio la fani kulipa au kutokulipa, kwanza ni uwezo wa kusoma, kufaulu na kuwa na uwezo wa kufanya kazi hizo katika viwango vinavyohitajika/vinavyokubalika.Yes mkuu im capable..an eye for beauty?? Ofcoz was born with tht, bila shaka uko upande wa architecture
Asante sana mkuu kwa ushauri wako...ningekua mimi ningetake architecture...kwa sasa sehemu nyingi sana wanatoa civil(st joseph,mist,aru,coet,dit) na in the future lazima hawa watu watafurika tu...embu jiulize ni nani yuko tiari kupiga 5yrs chuo?? ni vyuo vingap vinatoa arch hapa tz?? probably 2 universities(ardhi na mist)..sasa mpaka hapo utaona ni jins gan arch iko juu...kama mdau mmoja hapo juu alivyosema architects ndo master wa builders wote..hiyo ni kwel kwa maana hakuna nyumba inajengwa bila blueprints toka kwa archtect!!! its up to u nw....ILA SKIZA MOYO WAKO ZAID!!! nawasilisha....
Nimekuelewa mkuu ..asante ,Yap! Maanake suala sio la fani kulipa au kutokulipa, kwanza ni uwezo wa kusoma, kufaulu na kuwa na uwezo wa kufanya kazi hizo katika viwango vinavyohitajika/vinavyokubalika.
poa mkuu...your welcome..Asante sana mkuu kwa ushauri wako...
ningekua mimi ningetake architecture...kwa sasa sehemu nyingi sana wanatoa civil(st joseph,mist,aru,coet,dit) na in the future lazima hawa watu watafurika tu...embu jiulize ni nani yuko tiari kupiga 5yrs chuo?? ni vyuo vingap vinatoa arch hapa tz?? probably 2 universities(ardhi na mist)..sasa mpaka hapo utaona ni jins gan arch iko juu...kama mdau mmoja hapo juu alivyosema architects ndo master wa builders wote..hiyo ni kwel kwa maana hakuna nyumba inajengwa bila blueprints toka kwa archtect!!! its up to u nw....ILA SKIZA MOYO WAKO ZAID!!! nawasilisha....
yah uko sahihi kabisa..ila hapa civil ikiwa juu lazima arch pia iwe juu..hiyo ndo ilikua point yang maana hawa watu wanategemeana na wanafanya kazi pa1!!Architecture ni nzuri ingawa kwa soko la nchi zinazoendelea bado civil engineering demand yake itaendelea kukua siku hadi siku.Mwisho wa siku follow your heart
mkuu hv maswali gani haya mnayouliza!?
unataka kujiajiri au kuajiliwa sema nikusaidie!?
Ila hawa woote wawili wapo kwenye constraction Industry na architecture ni boss wa construction team!
hawa woote soko lao linategemea ujenzi kwa kipindi hicho, all in all chagua moyo wako unakopenda!
Huo usemi una dosari - Maarchitect si mabosi wa civil works zilizo nyingi kama vile ya barabara, ya maji n.k.
Huo usemi una dosari - Maarchitect si mabosi wa civil works zilizo nyingi kama vile ya barabara, ya maji n.k.
ipo kwenye majadiliano, kwa wenzetu kila construction ina husisha architect na qs ! kuna mapungufu yanayojitokeza kwenye industry kwa wanataaluma kuingiliana! ie kwenye majenzi ya barabara kuna swala la costing ambalo kama qs firms zingehusishwa maybe tungeokoa fedha nyingi! au kama architect wangehusishwa kwenye majenzi ya barabara na madaraja unafikiri miji yetu ingependezaje?