VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Sisi wa 2005 tuliitwa TSUNAMI.Wao wataitwa SENSA...
Kwahiyo nini? Acha hizo.Yeye amependekeza jina tu.Ebo!kwa hiyo!!
M4C.Movement For Change ndio kila kitu coz wengi wetu tunamaliza chuo 2015 kipindi cha kampeni tuko mtaani lazima tuiangamize CCM.
Kwanini wasiitwe Mwagwepande
2iten hata katiba mpya hamna noma